CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Mmmh........Parliament of Tanzania
Jamani kuna mbuge huyu wa jimbo la Mtera ama kweli ni kilaza,hivi sasa amemaliza kuchangia hoja bungeni kuhusu bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani.Kinachonishangaza ni kuona baada ya kuzungumzia matatizo ya wananchi waliyomtuma kwa ku-link matatizo hayo na wizara husika yeye muda wote anaumalizia kwenye kurusha vijembe na kuwashambilia wapinzani.
Huyu huyu ndie jana aliyeomba muongozo wa kuwataka wabunge waletewe daktari awapime akili mda mfupi tu baada ya mbunge wa cdm kumaliza kutoa mchango wake,lakini kumbe nimegudua kuwa yeye ndiye anatakiwa kupimwa akili maana baada ya kutoa michango ya kuitaka serikali ililetee jimbo lake maendeleo yeye ndio kabsaaaa kageuka kuwa Waziri wa wizara husika na kuanza kuitetea serikali.
<br />Natumaini Hospitali ya Mirembe ipo Jimboni mwake.
Alichonifurahisha zaidi Wenje hakuunga mkono hoja.Mchango wa wenje ulikuwa mzuri sana...nilipenda pale alikopiga kwamba,serikali hii hii ndiyo iliyotupa fursa za kusoma lakini hiyo hiyo ndiyo iliyowanyima wengine fursa ya kusoma kama akina Livingstone Lusinde
Wenje anasema elimu ni haki na si upendeleo, CCM imeifanya elimu kwa wananchi ni previledge na matokeo yake ni kunyima fursa watu kusoma na kumtolea nafasi mheshimiwa Lusinde kuwa matunda ya mfumo huo wa CCM, amekosa elimu kwa sababu tu muono hasi wa CCM na kumsihi Waziri Nahodha alione hilo....
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Mkuu Lusinde hajaomba mwongozo kutokana na speech ya wenje?? ama hakuwepo bungeni?
naona wanamsema yule mbunge lamerk wa mwanza ambaye kashagoma kabisa kuhudhuria vikao vya bunge kisa anasema anataka kuwa bega kwa bega na wapiga kura wake. kumbe anakimbia hoja za upinzani - jamaa ni seven ya miaka ile ya 80.kwani lusinde hajasoma?