Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
1. Eti kama vipi tuzichape bungeni.......bla bla bla......
2. Eti Kikwete ni mpole na anawavumilia wapinzani wakati ni mwanajeshi ......bla bla bla....
bora Malecela.........kuliko huyu!
pumba zampumbaza,,,,nasikitika kuwa nayeye ni miongoni ya wawakilishi wa nchi hii!!!!