Kwali kazi tunayo watanzania
ja kaya?Nahavome
Wakuu, mimi kwa mara ya kwanza leo ndio namsikia mbunge wa mtera bungeni akichangia mada, sasa najiulize hivi watu wa mtera wamemkosea nini mungu?
Huyu kilaza kwanza inaonekana wazi hajui kama yupo bungeni, anasema mtera walikuwa na gari lao, kuna padri akaja na gari dogo mama mmoja akaanza kupiga vigeregere kwamba gari lao limezaa, na alivyochungulia uvunguni akaona exaust basi akasema na mtoto wenyewe ni wakiume.
Sasa wanajmvi hivi tujiulize hivi hawa kina mama wa Mtera ni washamba kiasi gani mpaka wafanishe exausti na UUME?
Licha ya uharo mwingi alioongea kama desturi ya wabunge wa CCM cha kushangaza baada ya kumaliza mchango wake, mwenyekiti akampongeza kwa hotuba nzuri!
Na ikumbukwe kabla Makinda hajamwachia mwenyekiti kiti cha kuongoza mjadala aliwaonya wabunge kuangalia hadhi zao kwani wananchi hawapendi kuangalia wabunge ambao ni comedians & jockers.
Sasa ndio linapokuja swali langu je! wananchi wa mtera wamemkosea nini mungu?
Naomba kutoa hoja, @ New York, unakaribishwa vilevile, tujue msimamo wako kwenye hili.
Huu ndio upeo wako, nina uhakika huoni zaidi ya urefu wa pua yako, pole sana,........mimi nina ID mingi sana huwa sifikirii swala la ban.
wewe ndo akili zako ziko hivyo...nini kimekufanya uka edit???!!! nakuuliza ni nin kimekufanya ukaedit...si ungeliacha hilo neno...tatizo umeandika kwa hasira then baada ya kutulia ukagundua umefanya kosa ndo ukaedit.....inaonesha jins ngani ulivyo sanguine!!!!
thionk beyond the next meal meeen!!
Kweli JF ni koboko! Nimecheka sanaa! Kwa sasa sisemi kitu nitasema baadaye! Ngoja nichape kazi kwanza!
jamaa hajakosea coz amenukuu kutoka bungeni,so kma mbunge alitamka hivyo then tatizo lake nini.
Mie nakumbuka alianza kwa kutoa sifa kwa Dr. Slaa kwa vile ameingia katika kitabu cha watz waliowahi kugombea URAIS wakagaragazwa!
ja kaya?
Kweli mkuuWakuu, mi' nilipita tu. Tutakutana kwenye mada zingine