Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Mkuu Mtu wa Pwani, wewe ni mzoefu sana hapa jamvini, watu tunakutegemea sana, tutatarajia kupata full info sasa hii ya Prof. Mwadosya mbona haina mshiko? kwanin i usimtaje Hawa Ghasia (Lindi) au Bernard Membe (Lindi) (hawa ni Mawaziri wanatoka eneo jirani na majirani wa Mdhihir). Au waziri wa viwanda, mazingira nk.?