....Mkuu,hebu fafanua kidogo kwa hilo la AFYA....je unamaana akajiuzulu kwa sababu nyingine licha ya hiyo ya Afya Nchi haitamuelewa au??,najua hapa Nyumbani(TZ) Afya za watu/public figures huwa ni siri binafsi je Mkulu anahistoria yeyote ya matatizo ya Ki-afya??Mimi naisubiri sana siku atakapojiuzulu sababu ya afya ...ili aepuke aibu iliyo mbele yake...alidhania uraisi ni rahisi hivyo???apumzike sababu ziko nyingi sana kubwa iwe afya.....inatosha aichie nchi.........hana jipya wala hajawahi kuwa nalo