Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Japo sikubahatika kuongea lakin nimependa sana na nashauri kuwe na conference kama hizi japo mara moja kwa mwezi ili watu waweze kujenga udugu na urafiki yote kwa nia ya kuelimishana kujuana na kupashana habari bila kusahau kuburudishana.
Mie nimetumia jina langu halisi Dr Hamza Yousuf Al Naamani
keep it up Mods
Mie nimetumia jina langu halisi Dr Hamza Yousuf Al Naamani
keep it up Mods