Hicho ni kigezo kidogo sana chakumpima binadamu , je wote waliofeli hawajaweza kufanikisha chochote katika maisha yao!?Kwa elimu ya kidato cha nne alifeli huyo maana hata form five haendi huyo.
lakini pointi yangu ajira kama tunaajiri kidato cha nne basi tushindanishe wa kidato cha nne walioko mtaani na kati ya wale watakaojitokeza basi tuchukue the best katika hao.
kwa vigezo vyao kama mtu alipata divisheni 2 au 3 na hana lolote kwa sasa maana kuna mtu anaweza kupata hata 1 form four na six akachemsha lakini hawa wanasema huyo hana vigezo
Mleta mada ni KILAZA na pia huwezi jua position ambayo hao watu wanahitajikaF = Fail
A,B,C,D = Pass
Mr J alisoma mchepuo wa sayansi O'level na alipata matikeo kam ifuatavyo.
Math =F
Eng. =F
Phy =D
Chem =D
Bio. =D
Geo =D
Hist. =D
Kisw. =D
Civ. =D
Bible. =F
Hiyo ni sawa na division 4 point 28.
Vip huyo amefeli pia....
Mr J anasifa za kusoma hadi PHD.
yaani haya unayoyatetea ndiyo unajiona msomi wa ku quote plato????Mtoa mada hujaelimika hata kama umefika chuo kikuu unaweza zidiwa na hao div 4.
Aliekwbia div ni failure nani.
NECTA ndio wana eleza kuwa div4 ni failure au wizara ya elimu?
Kamsome plato upya jinsi ya kupanga makundi ya watu kuanzia Gold mpaka Silver.
Huna lolote kichwani, jeshi huwa linatoa special chance kwa graduate.
Umesoma mpaka chuo bado unawivu na vinafasi vya watu wa chini.
Anzisha kampuni uajiri wahitimu wenye digrii lakin usiipangie serikali.
kilaza ni yule anayeamini kuna nafasi za vilaza hutakiwi kuweka watu wenye uelewa.Mleta mada ni KILAZA na pia huwezi jua position ambayo hao watu wanahitajika
Form 4 akikuuliza wewe kama msomi umebuni nini zaidi yake ili upewe ajira halafu yeye anyimwe utamjibu nini? .yaani haya unayoyatetea ndiyo unajiona msomi wa ku quote plato????
elimu yetu ni shida tupu watu kukalili majina ya wanafalsafa wanaona wamejua.
narudia tena tangazo la ajira la serikali la kusema tunaajiri form 4 divisheni 4 pointi 28 mpaka 31 limetoka kwa kilaza anayetuharibia jamii. Tutajenga jamii yetu kwa kutengeneza ushindani ambao kila mwanajamii ataona anayejitahidi kusoma kwa bidii au kufanya kazi kwa bidii ndiye anayefanikiwa.
Lakini waliokalili sijui kuna makundi ya plato, kwamba plato alisema wanaopata sifuri ndiyo wenye akili hivyo akitaka kuajiri nafasi za umma anaita wenye sifuri hao siyo wasomi bali wamekalili tu
Kwani sasa hivi hakuna digrii holder shule ya msingi, mbona mambo yapo vilevile.Ukiona hivyo, mtoa tangazo ana mbumbumbu wake kubao nyumbani. Matatizo yanayolipata jeshi la polisi kwa sasa ni kuwa na askari wengi wenye elimu ndogo. Uhamiaji mna iga? Kuzolota kwa elimu nchini lililetwa na kozi ya ualimu kuwachukua 'waliobaki' baada ya kuengua wa kuendelea na masomo na kozi zingine. Kuna walio faulu zaidi ya div 4 wamekosa nafasi kuendelea A level au vyuo wapo mitaani, kwa nini wazuiwe kuomba? Kuwa na failures uhamiaji ni sifa?
Tanzania hatua tuliyo nayo haihitaji mtanzania mwenye akili. Yaani kama una akili wanakuua/kuku frustrate wasiokuwa na akili mpaka uchanganyikiwe au uozee kabulini. Ila ipo miaka itafika ambapo wenye akili watahitajika.Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.
Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?
Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.
Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.
Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.
Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.
Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.
Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.
Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.
Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata
Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????
Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
Acha kutetea vilaza mkuu. Kwa hiyo huyo division 4 anaweza fanyaa vizuri mambo ya kiteknolojia ukilinganisha na watu waliosoma mpaka degree level?huu upuuzi kbsa, kuzan kuwa ufaulu wa darasan, unaendana na utendaji wa kazi, hizi colonial education zmewaharbu sana akil kwa kuwapa vipaumbele hao wasomi uchwara ktk kila jambo mnataka wapendelewe.
kufel form4 sio kigezo cha mtu kukosa akil na uwajibikan, kufaul form4 sio kigezo cha kuwa muwajibikaj, achen fikra potofu, jiulizen kwann matatizo hayakakwishi nchini japo kuna wasomi weng ktk kila nyanja???? mtoa mada bado ana mindset zakitumwa
Ukute ulifundishwa na walimu waliopata division 4 za O- level lakini unavyojitutumua kuponda!Acha kutetea vilaza mkuu. Kwa hiyo huyo division 4 anaweza fanyaa vizuri mambo ya kiteknolojia ukilinganisha na watu waliosoma mpaka degree level?
Ni kujaribu ku'justify" ujinga tu.
wewe ego kweli ni kiazi grade 1 na unafananana jina lako EGOyaani haya unayoyatetea ndiyo unajiona msomi wa ku quote plato????
elimu yetu ni shida tupu watu kukalili majina ya wanafalsafa wanaona wamejua.
narudia tena tangazo la ajira la serikali la kusema tunaajiri form 4 divisheni 4 pointi 28 mpaka 31 limetoka kwa kilaza anayetuharibia jamii. Tutajenga jamii yetu kwa kutengeneza ushindani ambao kila mwanajamii ataona anayejitahidi kusoma kwa bidii au kufanya kazi kwa bidii ndiye anayefanikiwa.
Lakini waliokalili sijui kuna makundi ya plato, kwamba plato alisema wanaopata sifuri ndiyo wenye akili hivyo akitaka kuajiri nafasi za umma anaita wenye sifuri hao siyo wasomi bali wamekalili tu
Matumizi ya silaha na nguvu hayahitaji diploma wala divisheni one.Sekta kama magereza, uhamiaji, polisi na jeshi walitakiwa waajiriwe watu wenye elimu kuanzia form 6, diploma, degree na kuendelea.
Lengo la kuwajiri waliofeli ni kuendelea kutumika kisiasa leo hii jeshi la polisi limekuwa la kisiasa.
F = Fail
A,B,C,D = Pass
Mr J alisoma mchepuo wa sayansi O'level na alipata matikeo kam ifuatavyo.
Math =F
Eng. =F
Phy =D
Chem =D
Bio. =D
Geo =D
Hist. =D
Kisw. =D
Civ. =D
Bible. =F
Hiyo ni sawa na division 4 point 28.
Vip huyo amefeli pia....
Mr J anasifa za kusoma hadi PHD.
Ndio wasomi wanahitajika ila wachache sana.Siyo kweli katika sekta ambayo inahitaji wasomi na wanasayansi ni jeshi, polisi, magereza na uhamiaji.
Kila siku technolojia mpya inaibuka, huyu aliyefeli anaweza kupewa kazi ya ujasusi? Huyu aliyefeli anaweza kutengeneza website au virus au software yoyote kulinda taarifa zisiharibiwe na virus?
Wasomi wanahitajika sana, sasa hivi siyo km miaka ile ya 1945 ya vita ya pili kutegemea bunduki.
Sasa hivi mtu 1 au 5 wanaweza kuingamiza nchi na mkafa wote. Watu wanaingia laboratory wanatengeneza virus kisha watuma kwenye nchi yako kisha wanatengeneza na dawa. Unakufa huku unamtajirisha adui
Zama za nguvu zishapitwa na wakati sasa hivi watu wanatumia akili nyingi nguvu kidogo
Hujui kitu we Mbuni, jeshi linahitaji wataohudunu kwenye vyeo vidogo kwa mda mrefu sasa ukimuweka bachelor holder unadhan ni kwa mda gani atahudumu kama Private?Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.
Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?
Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.
Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.
Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.
Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.
Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.
Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.
Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.
Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata
Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????
Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
Umeeleweka sana mkuu. Wasomi sio wafia nchi bali ni wapigadili tu jeshini hamna kitu mle sema tu mambo yameshakuwa magumu siku hizi.Kwa bongo yetu wasomi wengi uingia jeshini kimaslai tu na kama ajira zingekuwepo za kutosha kwa kila taaluma wala usiongeona watu wa degree wanajazana huko jeshini, jeshi linataka watu watakaojitolea kufa na kupona na sio kupata mishahara na vyeo vikubwa mkuu nawasilisha.
Kuna vyuo uchwara wanatangaza redioni/ runinga nafasi za masomo, uuguzi n.k. wanaweka ufaulu wa chini kabisa kama kigezo cha kujiunga nao. Unajiuliza ni mkunga au muuguzi wa aina gani atakayetoka hapo akutibu?Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.
Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?
Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.
Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.
Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.
Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.
Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.
Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.
Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.
Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata
Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????
Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa