Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 #1 Nauliza kutengeneza kma haka ni inagharimu kiasi gani?
Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 Thread starter #3 Truth Teller said: Unauliza Nini? Click to expand... Kutengeneza kma ako shingapi Attachments Screenshot_20231211-194912.png 388 KB · Views: 9
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,084 45,741 Dec 11, 2023 #4 Dra Maxie said: Kutengeneza kma ako shingapi Click to expand... 2000$
Nyafwili JF-Expert Member Nov 27, 2023 2,783 6,908 Dec 11, 2023 #5 Dra Maxie said: Nauliza kutengeneza kma haka ni inagharimu kiasi gani? View attachment 2839764 Click to expand... Mkuu, kesho tu hii itaungua na moto,
Dra Maxie said: Nauliza kutengeneza kma haka ni inagharimu kiasi gani? View attachment 2839764 Click to expand... Mkuu, kesho tu hii itaungua na moto,
Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 Thread starter #6 DR HAYA LAND said: 2000$ Click to expand... Kwa tsh??
Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 Thread starter #7 DR HAYA LAND said: 2000$ Click to expand... Yaan 5M au sijui ku cross multiplication
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,084 45,741 Dec 11, 2023 #8 Yes Dra Maxie said: Yaan 5M au sijui ku cross multiplication Click to expand...
Fund man JF-Expert Member Feb 24, 2021 3,462 4,543 Dec 11, 2023 #9 Kwa hapa kwetu ngumu sana kuishi nyumba kama hiyo.Hakuna ustaarabu kabisa.😂😂😂😂🪑
Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 Thread starter #10 Fund man said: Kwa hapa kwetu ngumu sana kuishi nyumba kama hiyo.Hakuna ustaarabu kabisa.😂😂😂😂🪑 Click to expand... Simaanishi nyumbaa ya kuishi nahtaji sehemu ya biashara kama ivi
Fund man said: Kwa hapa kwetu ngumu sana kuishi nyumba kama hiyo.Hakuna ustaarabu kabisa.😂😂😂😂🪑 Click to expand... Simaanishi nyumbaa ya kuishi nahtaji sehemu ya biashara kama ivi
Dra Maxie Senior Member Dec 9, 2022 143 215 Dec 11, 2023 Thread starter #11 Fund man said: Kwa hapa kwetu ngumu sana kuishi nyumba kama hiyo.Hakuna ustaarabu kabisa.😂😂😂😂🪑 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Majirani watanichungulia
Fund man said: Kwa hapa kwetu ngumu sana kuishi nyumba kama hiyo.Hakuna ustaarabu kabisa.😂😂😂😂🪑 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Majirani watanichungulia
Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 19,134 41,705 Dec 11, 2023 #12 Moto shwaaaaaaaah yowe kama yote 😂
Gily Gru JF-Expert Member Jul 4, 2016 7,802 20,766 Dec 11, 2023 #13 Hizo mbao usipopiga dawa zinaliwa zone Pili nyumba za mbao na tofali ukubwa ukiwa sawa, nyumba sa mbao ni expensive. Hii ya kwako inaweza kuwa cheap katakana na hizo mbao sio za kujengea whole house mara nyingi wanatumia mbao ngumu ndio maana zinakuwa gharama sana
Hizo mbao usipopiga dawa zinaliwa zone Pili nyumba za mbao na tofali ukubwa ukiwa sawa, nyumba sa mbao ni expensive. Hii ya kwako inaweza kuwa cheap katakana na hizo mbao sio za kujengea whole house mara nyingi wanatumia mbao ngumu ndio maana zinakuwa gharama sana