Kutendwa kumenifanya nisijielewe

Kutendwa kumenifanya nisijielewe

Niliumizwa na msichana niliyempenda,ingawa tulifika mbali but ikafika mda akaanza kubadilika na madharau kibao,nikamwambia tuachane hataki,ila nafsi yangu haikuridhika na mwenendo wake mpya,coz lazima utamjua mtu ambaye anakucheat,tukaachana,iliniuma kwa mda mrefu,nikafuta mawasiliano yake,ingawa kila akinitafuta ndo kama naumia zaidi kumkumbuka,nikasema sintampenda mwanamke tena mpaka yeye anipende mwenyewe na sitongozi,baada ya kukaa mda mrefu nikasahau na kumwona wa kawaida,bahati nzuri now niliye naye ananipenda na ninampenda mpaka nimesahau kila kitu,ila usihofu baada ya mda utasahau kabisa hiyo hali
 
Mimi nina maswali haya:
1. Ingekuwa ni mfanya biashara mwenzio amekudhulumu, ungefanya nae biashara tena???
2. Nadhani tatizo lako sio kwamba bwana huyu kakukosea, tatizo ni yeye kufanya uzinzi. Na nafikiri wewe umeumizwa na hilo. Angetenda kosa lingine ungeonaje?

USHAURI WANGU: Usiufuate Moyo wako. Kaa mbele uuongoze moyo wako. Kaa mbele uongoze hisia zako, sio hisia zikae mbele halafu kama zuzu unazifuata!

Ushauri wako nimeupokea
 
Niliumizwa na msichana niliyempenda,ingawa tulifika mbali but ikafika mda akaanza kubadilika na madharau kibao,nikamwambia tuachane hataki,ila nafsi yangu haikuridhika na mwenendo wake mpya,coz lazima utamjua mtu ambaye anakucheat,tukaachana,iliniuma kwa mda mrefu,nikafuta mawasiliano yake,ingawa kila akinitafuta ndo kama naumia zaidi kumkumbuka,nikasema sintampenda mwanamke tena mpaka yeye anipende mwenyewe na sitongozi,baada ya kukaa mda mrefu nikasahau na kumwona wa kawaida,bahati nzuri now niliye naye ananipenda na ninampenda mpaka nimesahau kila kitu,ila usihofu baada ya mda utasahau kabisa hiyo hali

Hongera kwa kupata mnaependana,asante kwa ushauri
 
Dat right mkuu
Wapo wengi wenye tatizo kama lako binafsi mi naona mwanzo na mwisho wa tatizo lako nn wewe mwenyewe fanya uamuzi tu utashinda pambana na hiyo hali accept kuwa si wanaume wote matapeli
 
Wapendwa katika Bwana wana MMU: Nitumie nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote mlionishauri katika jambo hili hadharan na hata pm. Mungu azidi kuwapa hekima na maisha marefu yenye kila aina ya furaha.

Kwasasa naishi kwa amani kabisa bila hata huyo jamaa na hata ile hasira niliyokua nayo mwanzo haipo tena. MMU imenifanya nijione niko strong kupitia ushauri wenu. Na ningependa hata wale wanaopitia maumivu ya kimapenzi kwasasa wapige moyo konde waone kwamba kuna maisha mengine mbele ya hao ma x zao. Tujifunze kukubali matokea na kusonga mbele,maisha yako yanakutegemea wewe mwenyewe uyajenge wala usisubiri mwingine akujengee.
 
Wapendwa katika Bwana wana MMU: Nitumie nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote mlionishauri katika jambo hili hadharan na hata pm. Mungu azidi kuwapa hekima na maisha marefu yenye kila aina ya furaha.

Kwasasa naishi kwa amani kabisa bila hata huyo jamaa na hata ile hasira niliyokua nayo mwanzo haipo tena. MMU imenifanya nijione niko strong kupitia ushauri wenu. Na ningependa hata wale wanaopitia maumivu ya kimapenzi kwasasa wapige moyo konde waone kwamba kuna maisha mengine mbele ya hao ma x zao. Tujifunze kukubali matokea na kusonga mbele,maisha yako yanakutegemea wewe mwenyewe uyajenge wala usisubiri mwingine akujengee.

ameeen kaza moyo dada wavulana tupo wengii
 
Duuuh! Pole sana. Watu wengine roho zao zimejaa kutu.Anyway, kumrudia mi sikushauri. Nina mfano hai dada yangu mimi ninaemfuata katendwa kama wewe mwishoni tu kama wewe. Walipoachana kwa muda kama wewe, yule jamaa kajirudi na kuomba msamaha na ndipo dada akatuomba ushauri. Nilikuwa wa kwanza kumwambia asimrudie afungue ukurasa mpya kwa mwngne. Lakn alikula ngumu akamkubali. Wamefunga ndoa hata miezi 6 hazijaisha jamaa kavaa tabia yake ya mwanzo. Jaman tabia ni ngozi. Vituko vilianza na hatimae wakaachana na mwisho dada kaolewa tena mtu mwngne na sasa anaenjoy maisha. Jamaa bado ni wa kutangatanga tu mpaka leo. Fundisho hapa ni kuwa sisi ni binadamu na ubinadamu wetu ni complex sana. Tusijing'ang'anize tu kwa watu eti kisa tu feelings. Sometimes reality is more important than feelings when comes to life matter.Pole valentina.
 
Duuuh! Pole sana. Watu wengine roho zao zimejaa kutu.Anyway, kumrudia mi sikushauri. Nina mfano hai dada yangu mimi ninaemfuata katendwa kama wewe mwishoni tu kama wewe. Walipoachana kwa muda kama wewe, yule jamaa kajirudi na kuomba msamaha na ndipo dada akatuomba ushauri. Nilikuwa wa kwanza kumwambia asimrudie afungue ukurasa mpya kwa mwngne. Lakn alikula ngumu akamkubali. Wamefunga ndoa hata miezi 6 hazijaisha jamaa kavaa tabia yake ya mwanzo. Jaman tabia ni ngozi. Vituko vilianza na hatimae wakaachana na mwisho dada kaolewa tena mtu mwngne na sasa anaenjoy maisha. Jamaa bado ni wa kutangatanga tu mpaka leo. Fundisho hapa ni kuwa sisi ni binadamu na ubinadamu wetu ni complex sana. Tusijing'ang'anize tu kwa watu eti kisa tu feelings. Sometimes reality is more important than feelings when comes to life matter.Pole valentina.

Asante sana best,wakati mwingine mashauri yawatu husaidia sana kutupa miongozo.
 
Wapendwa ni matumaini yangu mu wazima na mko vizuri katika majukumu yenu:

Leo ninaomba kushare nanyi jambo ambalo limekua likinitatiza kwa muda sasa. Ninatambua kila mmoja wetu ana historia yake ya kimapenzi na wengi tumetendwa na wale ambao tuliwekeza mioyo yetu kwao kwa kuwaamini kwamba wataiendeleza furaha yetu, ila kwasababu mbalimbali au kwa bahati mbaya wengi hatukuweza kufikia matarajio yetu juu ya hao wenzetu....

Binafsi nilikua katika mahusiano na mtu ambae nilimpenda mno narudia tena nilimpenda tena mno. Na ndie mwanaume wangu wa kwanza ku........
Nae kwa upande wake alionyesha uaminifu na moyo wakujali,maneno yote mazuri yenye matumaini mtoto wa kike niliambiwa,Kifupi tulipanga uhusiano wetu uzae ndoa.

Ilifika hatua mwezi wa sita mwaka jana akaja Arusha kwalengo la kujitambulisha nyumbani kwetu. Lakini gafla katika hali ambayo sikuitarajia akabadilisha maamuzi yake akanipa visingizio. Baada ya muda mfupi kabla ya yeye kurejea kwenye makazi yake,nikamfumania akiwa na rafiki yangu wa karibu,rafiki niliye mchukulia kama ndugu yangu na kushare nae baadhi ya mambo.

Waliosalitiwa bila shaka wanaelewa uzito wa maumivu hayo. Ikabidi niwe mpole,na kuwaambia waendelee mbele,siku zilivosonga yule binti akaanza mambo ya dharau kwangu ila namshkuru Mungu nilipata moyo wa kumsamehe na kupuuza dharau zake. Ilipofika mwezi wa 9 yule binti aliacha kazi kwa shari na kurudi kwao.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu leo,nikwamba yule mwanaume anataka kurudi kwangu na mimi moyo wangu unakua mzito kumrudia,nimetokea kumchukia.

Jambo linalonisumbua zaidi kila ninapoanza mahusiano mapya hua nashindwa kuendlea mbele,hofu ya kwamba huyu atanifanyia kama yule inanijia mara kwa mara na matokeo yake nakua sababu ya kuvunjika uhusiano huo.
Wapendwa nifanye nini kukabiliana na hali hii ya pili? Ninatamani sana hali hii iniondoke. Karibu kwa mchango wako kimawazo.
Kwenye makosa ya kiuandishi mnisamehe mana natumia cm.

Pole sana kwa mapito hayo, mimi pia nimetendwa hivi karibuni. Akili yangu haijatulia kabisa, sijui unauzefu gani kukabiliana na hili janga ili nami nipate auheni. Tafadhali kama unaweza nitumie PM, nahitaji ushauri nifanye nini kuilabili hali hii!!!
 
Pole sana kwa mapito hayo, mimi pia nimetendwa hivi karibuni. Akili yangu haijatulia kabisa, sijui unauzefu gani kukabiliana na hili janga ili nami nipate auheni. Tafadhali kama unaweza nitumie PM, nahitaji ushauri nifanye nini kuilabili hali hii!!!

Kubali kwamba unaweza kuendesha maisha yako bila ya huyo,jitahidi kwa namna yoyote kumtoa moyoni,penda ibada na pia fuata ushari mbalimbali niliopewa apo juu na hawa ndugu wa jukwaa hili.
 
Wapendwa katika Bwana wana MMU: Nitumie nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote mlionishauri katika jambo hili hadharan na hata pm. Mungu azidi kuwapa hekima na maisha marefu yenye kila aina ya furaha.

Kwasasa naishi kwa amani kabisa bila hata huyo jamaa na hata ile hasira niliyokua nayo mwanzo haipo tena. MMU imenifanya nijione niko strong kupitia ushauri wenu. Na ningependa hata wale wanaopitia maumivu ya kimapenzi kwasasa wapige moyo konde waone kwamba kuna maisha mengine mbele ya hao ma x zao. Tujifunze kukubali matokea na kusonga mbele,maisha yako yanakutegemea wewe mwenyewe uyajenge wala usisubiri mwingine akujengee.

sure sure valee maisha yasongee...
 
My dear hiyo ni kweli kabisa,ushauri wako nimeupokea kwa mikono yote. Late me take easy and go ahead,ila kumsamehe na kumrudia ni ngumu....

ili moyo wako ufarijike msamehe, hakuna barabara isiyokuwa na kona na itapendeza sana ukirudiana naye under condition
 
songa mbele mdada utapata mwenye mapenzi ya dhati muache huyo na tamaa zake, pia usikubali kurudia matapishi atakuona mnyonge ameshalipata huko alikotoka
 
Wanaume huwa wana kitu kimoja; akishatembea na mwanamke anajua huyo ni wa kwake tu na hata wakiachana akimua kutaka kumrudia anajua atampata kwa vyovyote kwakuwa si walishakuwa pamoja huko nyuma. Wanapenda sana kuutumia huo mwanya. Huwa wana moto sana wakiwa mawindoni na wanakinai haraka mno wakishapata walichokuwa wanatafuta, na hutamani kupata kitu kipya. Kwahiyo kwakuwa mlishakuwa pamoja na mkatengana kwa kipindi fulani, ina maana ushakuwa kitu kipya kwake tofauti na alichokuwa akipewa pindi mlipoachana. Kwa ufupi inawezekana huyo anakutamani.

good attempt aseeee
 
.......nishetani tu aliwapitia ilitakiwa uoneshe ujasiri wa kumshinda,samehe mia mara sabini....utabata faraja,vinginevyo utazidi kuumia 'mia mara sabini'
 
Back
Top Bottom