Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,021
[emoji13] [emoji13] [emoji13] namba tatu umejipigia debe jombaapole kwa yaliyokusibu.
swali: je kuna nafsi inakuambia urudiane naye au hata moyoni mwako hayumo?
kuna dada mmoja alitendwa vibaya sana na bf wake. akawa karibu sana nami. akaniambia mabaya mengi ya huyo jamaa(ambaye nilisoma naye) na akawa ananiapia kuwa hatarudiana nae tena.
baada ya muda mfupu nikamsikia anasema mara "jamaa ameokoka nimekutana naye kwenye semina", mara kilikwenda kikarudi....hatimaye wakarudiana.
hata mwezi haukuisha jamaa akamtenda tena yule dada. hadi leo dada wa watu kachanganyikiwa mno. kila me kwake ni sumu.
anyway, fanya yafuatayo:
1. usimpe nafasi ya kuumiza moyo wako tena
2. msamehe ili ufungue ukrasa mpya na wengine(najua ni ngumu lakini usipofanya hivyo hutapata amani ya moyo na kwa hiyo utishi na mume bila imani naye.
3. njoo kwangu, sijawahi kupenda, naanzia kwako, sitakusaliti.....teh teh teh!
Sent using Jamii Forums mobile app