Kutendwa kumenifanya nisijielewe

Kutendwa kumenifanya nisijielewe

Wapendwa ni matumaini yangu mu wazima na mko vizuri katika majukumu yenu:

Leo ninaomba kushare nanyi jambo ambalo limekua likinitatiza kwa muda sasa. Ninatambua kila mmoja wetu ana historia yake ya kimapenzi na wengi tumetendwa na wale ambao tuliwekeza mioyo yetu kwao kwa kuwaamini kwamba wataiendeleza furaha yetu, ila kwasababu mbalimbali au kwa bahati mbaya wengi hatukuweza kufikia matarajio yetu juu ya hao wenzetu....

Binafsi nilikua katika mahusiano na mtu ambae nilimpenda mno narudia tena nilimpenda tena mno. Na ndie mwanaume wangu wa kwanza ku........
Nae kwa upande wake alionyesha uaminifu na moyo wakujali,maneno yote mazuri yenye matumaini mtoto wa kike niliambiwa,Kifupi tulipanga uhusiano wetu uzae ndoa.

Ilifika hatua mwezi wa sita mwaka jana akaja Arusha kwalengo la kujitambulisha nyumbani kwetu. Lakini gafla katika hali ambayo sikuitarajia akabadilisha maamuzi yake akanipa visingizio. Baada ya muda mfupi kabla ya yeye kurejea kwenye makazi yake,nikamfumania akiwa na rafiki yangu wa karibu,rafiki niliye mchukulia kama ndugu yangu na kushare nae baadhi ya mambo.

Waliosalitiwa bila shaka wanaelewa uzito wa maumivu hayo. Ikabidi niwe mpole,na kuwaambia waendelee mbele,siku zilivosonga yule binti akaanza mambo ya dharau kwangu ila namshkuru Mungu nilipata moyo wa kumsamehe na kupuuza dharau zake. Ilipofika mwezi wa 9 yule binti aliacha kazi kwa shari na kurudi kwao.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu leo,nikwamba yule mwanaume anataka kurudi kwangu na mimi moyo wangu unakua mzito kumrudia,nimetokea kumchukia.

Jambo linalonisumbua zaidi kila ninapoanza mahusiano mapya hua nashindwa kuendlea mbele,hofu ya kwamba huyu atanifanyia kama yule inanijia mara kwa mara na matokeo yake nakua sababu ya kuvunjika uhusiano huo.
Wapendwa nifanye nini kukabiliana na hali hii ya pili? Ninatamani sana hali hii iniondoke. Karibu kwa mchango wako kimawazo.
Kwenye makosa ya kiuandishi mnisamehe mana natumia cm.
Maisha ni safari ndefu...chapa lapa mbele kwa mbele. Huenda hukupangiwa kuolewa na mkware huyo. Kumbuka mke/mume bora hutoka kwa MweneziMungu.
 
Wapendwa ni matumaini yangu mu wazima na mko vizuri katika majukumu yenu:

Leo ninaomba kushare nanyi jambo ambalo limekua likinitatiza kwa muda sasa. Ninatambua kila mmoja wetu ana historia yake ya kimapenzi na wengi tumetendwa na wale ambao tuliwekeza mioyo yetu kwao kwa kuwaamini kwamba wataiendeleza furaha yetu, ila kwasababu mbalimbali au kwa bahati mbaya wengi hatukuweza kufikia matarajio yetu juu ya hao wenzetu....

Binafsi nilikua katika mahusiano na mtu ambae nilimpenda mno narudia tena nilimpenda tena mno. Na ndie mwanaume wangu wa kwanza ku........
Nae kwa upande wake alionyesha uaminifu na moyo wakujali,maneno yote mazuri yenye matumaini mtoto wa kike niliambiwa,Kifupi tulipanga uhusiano wetu uzae ndoa.

Ilifika hatua mwezi wa sita mwaka jana akaja Arusha kwalengo la kujitambulisha nyumbani kwetu. Lakini gafla katika hali ambayo sikuitarajia akabadilisha maamuzi yake akanipa visingizio. Baada ya muda mfupi kabla ya yeye kurejea kwenye makazi yake,nikamfumania akiwa na rafiki yangu wa karibu,rafiki niliye mchukulia kama ndugu yangu na kushare nae baadhi ya mambo.

Waliosalitiwa bila shaka wanaelewa uzito wa maumivu hayo. Ikabidi niwe mpole,na kuwaambia waendelee mbele,siku zilivosonga yule binti akaanza mambo ya dharau kwangu ila namshkuru Mungu nilipata moyo wa kumsamehe na kupuuza dharau zake. Ilipofika mwezi wa 9 yule binti aliacha kazi kwa shari na kurudi kwao.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu leo,nikwamba yule mwanaume anataka kurudi kwangu na mimi moyo wangu unakua mzito kumrudia,nimetokea kumchukia.

Jambo linalonisumbua zaidi kila ninapoanza mahusiano mapya hua nashindwa kuendlea mbele,hofu ya kwamba huyu atanifanyia kama yule inanijia mara kwa mara na matokeo yake nakua sababu ya kuvunjika uhusiano huo.
Wapendwa nifanye nini kukabiliana na hali hii ya pili? Ninatamani sana hali hii iniondoke. Karibu kwa mchango wako kimawazo.
Kwenye makosa ya kiuandishi mnisamehe mana natumia cm.

A gud frnd of mine once told me that sometimes it takes sadness to know happiness. Umepitia this unfortunate experience from mtu ambaye u thought was the one, Thank God it didnt went so far hadi ndoa, so be strong,courageous and move on with your life cuz time heals all wounds. The only guy you need in your life is that one who proves he needs you too in his life also.
 
Samehee saba mara sabini!!alafu kumbuka mapenz yana nguvu saaana!fanyakile moyo wako wataka mdada!maana mpaka ulipo una jibu moyoni mwako dia,fanya maamuz yasiyoumiza moyo wako
 
Pole Valentina dear, muamuzi wa mwisho niwewe mwenyewe ila kwa ushauri tu huyo mwanaume kama alienda kuwa na huyo mdada na akili zake mwenyewe sikushauri mrudiane.
Kwasasa pumzika kabisa mauhusiano yaani hii nakwambia kutoka moyoni mimi napitia hili japo ni kesi tofauti si ya kucheat, nilihisi kuwa single ni ngumu kumbe ni rahisi na miezi inakatika niko okay.
Hope now ushazoea pia life goes on.

Kwakias kikubwa nashkuru kovu linaendlea kukauka hasa kutokana na maoni ya wadau hivi,mmenitia moyo kwakweli nimeona urahisi tofauti na mwanzo
 
A gud frnd of mine once told me that sometimes it takes sadness to know happiness. Umepitia this unfortunate experience from mtu ambaye u thought was the one, Thank God it didnt went so far hadi ndoa, so be strong,courageous and move on with your life cuz time heals all wounds. The only guy you need in your life is that one who proves he needs you too in his life also.

Thanx a lot my dia
 
you cannot move to your NEXT if your still stuck in your EX...
nikimaanisha kwanza jifunze kusamehe na kusahau, pili usiwe unagawa tunda bila ndoa kama umri wako tayari umeshasogea, jipange muoji haangalii kitumbua...uyo ex wako alitaka alichokipata ndo mana ukamfuma na shoga ako..
 
Your EX will always be your EX. Hata mkirudiana atakuwa YOUR EX IN RETURN

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
usimpende mtu kupita kias leave a space 4your own love too.
 
Maisha ni safari ndefu...chapa lapa mbele kwa mbele. Huenda hukupangiwa kuolewa na mkware huyo. Kumbuka mke/mume bora hutoka kwa MweneziMungu.

Nashkuru,ngoja nijipe moyo siku moja nitafika
 
Pole sana na kama walivyoshauri waliotangulia, si vema kurudiana na huyo mtu ambaye uliwekeza kwake akaishia kukutenda..

La msingi ni kuelewa na kukubali kwamba hilo ni moja tu ya majaribu katika mahusiano ambayo wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho. Shukuru kwamba lilitokea kabla hujaingia huko katika ndoa jambo ambalo lingeitia doa ndoa yako.

Hivyo angalia mbele maisha lazima yaendelee
 
Wapendwa ni matumaini yangu mu wazima na mko vizuri katika majukumu yenu:

Leo ninaomba kushare nanyi jambo ambalo limekua likinitatiza kwa muda sasa. Ninatambua kila mmoja wetu ana historia yake ya kimapenzi na wengi tumetendwa na wale ambao tuliwekeza mioyo yetu kwao kwa kuwaamini kwamba wataiendeleza furaha yetu, ila kwasababu mbalimbali au kwa bahati mbaya wengi hatukuweza kufikia matarajio yetu juu ya hao wenzetu....

Binafsi nilikua katika mahusiano na mtu ambae nilimpenda mno narudia tena nilimpenda tena mno. Na ndie mwanaume wangu wa kwanza ku........
Nae kwa upande wake alionyesha uaminifu na moyo wakujali,maneno yote mazuri yenye matumaini mtoto wa kike niliambiwa,Kifupi tulipanga uhusiano wetu uzae ndoa.

Ilifika hatua mwezi wa sita mwaka jana akaja Arusha kwalengo la kujitambulisha nyumbani kwetu. Lakini gafla katika hali ambayo sikuitarajia akabadilisha maamuzi yake akanipa visingizio. Baada ya muda mfupi kabla ya yeye kurejea kwenye makazi yake,nikamfumania akiwa na rafiki yangu wa karibu,rafiki niliye mchukulia kama ndugu yangu na kushare nae baadhi ya mambo.

Waliosalitiwa bila shaka wanaelewa uzito wa maumivu hayo. Ikabidi niwe mpole,na kuwaambia waendelee mbele,siku zilivosonga yule binti akaanza mambo ya dharau kwangu ila namshkuru Mungu nilipata moyo wa kumsamehe na kupuuza dharau zake. Ilipofika mwezi wa 9 yule binti aliacha kazi kwa shari na kurudi kwao.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu leo,nikwamba yule mwanaume anataka kurudi kwangu na mimi moyo wangu unakua mzito kumrudia,nimetokea kumchukia.

Jambo linalonisumbua zaidi kila ninapoanza mahusiano mapya hua nashindwa kuendlea mbele,hofu ya kwamba huyu atanifanyia kama yule inanijia mara kwa mara na matokeo yake nakua sababu ya kuvunjika uhusiano huo.
Wapendwa nifanye nini kukabiliana na hali hii ya pili? Ninatamani sana hali hii iniondoke. Karibu kwa mchango wako kimawazo.
Kwenye makosa ya kiuandishi mnisamehe mana natumia cm.

Kwanza Pole kwa yaliyokukuta
2.Namna moja au nyingine unaweza ukawa unajilaumu kwa maaumuzi uliyofanya yakumpa papu.....
3.Unapoweka chuki moyoni kwa aliye kutenda kwa nia ya kumsahau na kumtoa moyoni hutatui tatizo ila unaongeza mlango wa shetani kukuingia kwa kutumia chuki na kuwachukia hata wasio kua na tabia kama za aliye kutenda
4.Ulivosamehe/ulivo wasamehe umefanya jambo lakiushujaa ambalo limefunga mlango mmoja wa chuki na mlango mwingine uliufungua kwa point 4.
5.siku zote UBAYA HUWA HAULIPWI KWA UBAYA/CHUKI HAILIPWI KWA CHUKI ingawa ni ngumu kuamini na kuliweka katika matendo
6.Sifa kubwa ya UPENDO/LOVE ni uvumilivu na kusitiriana
7.Kikawaida na tunavoamini na kutokana na xperience 1st love huwa ni VERY STRONG no matter umefail/win kupata kile mlichokitaamia.Matarajio yanapofaeli wengi hushindwa kujizuia ndo pale tunapoanza kutafuta kinga na dawa ya kupoza mioyo yetu kama vile kutafuta mwingine mpenzi/kunywa pombe/sigara/bangi/kulipiza kisasi

KOSA LAKO
Hukufanya uchunguzi wa kutosha wa kumjua mwenzi wako hata kwa 3% na mapungufu yake na mazuri yake ili vikusaidie mbeleni kwa ulinzi wako binafsi katika kuhakikisha kile unachokiona mbele je kitakamilishwa na huyo mwenzi wako au la

USHAURI
1.Jipe mda wa kutulia usithubutu kutoa mwili wako kwa mwingine
2.Ili kusahau tukio lililokuumiza tafuta marafiki wakike/wakiume ambao hutakua nao katika mahusiano kwa kupiga stori za maisha hata kama zitakua za mahusiano waweza jielezea mwenyewe kwa mifano hii itasaidia kukupunguzia msongo wa mawazo
3.Ukiwa na marafiki wa kiume usijaribu kuwakubalia mara moja(kuingia katika mahusiano) jaribu kuwaweka kama marafiki huku ukiwachunguza na kujipima kama mnaendana na wanafaa kuwa nae katika mahusiano
4.Sala kwa Mungu wako itasaidia sada KUYASHINDA MAMBO AMBAYO YAMESHINDIKANA KWA MAWAZO YANGU HAPO JUU
5.Fanya mazoezi na Kusanyika na watu wenye mawazo ya juu(Uwezo mkubwa wa kufikiria na kushauri) au waliokuzidi ili wakushauri kwa ilo(wanandoa watakusaidia zaidi)
6.Kama unampenda na unafikiria kumpa nafasi Jaribu kupunguza ukaribu uliouweka wakati wa nyuma mkiwa katika mahusiano,kama mtapanga kukutana mkutane mahali pa wazi ili msiingie au usiingie majaribuni-Huku ukiwa unamchunguza kwa nia yakujilidhisha kama atakufaa kuwa mume wako,na usiwe mtu wa kumtafuta yeye ndo akutafute

NOTE;VANITY UPON VANITY IS VANITY :smile-big:
 
Pole sana na kama walivyoshauri waliotangulia, si vema kurudiana na huyo mtu ambaye uliwekeza kwake akaishia kukutenda..

La msingi ni kuelewa na kukubali kwamba hilo ni moja tu ya majaribu katika mahusiano ambayo wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho. Shukuru kwamba lilitokea kabla hujaingia huko katika ndoa jambo ambalo lingeitia doa ndoa yako.

Hivyo angalia mbele maisha lazima yaendelee

Nasema asante kwa ushaur wako best,kweli maisha lazima yaendelee
 
Kwanza Pole kwa yaliyokukuta
2.Namna moja au nyingine unaweza ukawa unajilaumu kwa maaumuzi uliyofanya yakumpa papu.....
3.Unapoweka chuki moyoni kwa aliye kutenda kwa nia ya kumsahau na kumtoa moyoni hutatui tatizo ila unaongeza mlango wa shetani kukuingia kwa kutumia chuki na kuwachukia hata wasio kua na tabia kama za aliye kutenda
4.Ulivosamehe/ulivo wasamehe umefanya jambo lakiushujaa ambalo limefunga mlango mmoja wa chuki na mlango mwingine uliufungua kwa point 4.
5.siku zote UBAYA HUWA HAULIPWI KWA UBAYA/CHUKI HAILIPWI KWA CHUKI ingawa ni ngumu kuamini na kuliweka katika matendo
6.Sifa kubwa ya UPENDO/LOVE ni uvumilivu na kusitiriana
7.Kikawaida na tunavoamini na kutokana na xperience 1st love huwa ni VERY STRONG no matter umefail/win kupata kile mlichokitaamia.Matarajio yanapofaeli wengi hushindwa kujizuia ndo pale tunapoanza kutafuta kinga na dawa ya kupoza mioyo yetu kama vile kutafuta mwingine mpenzi/kunywa pombe/sigara/bangi/kulipiza kisasi

KOSA LAKO
Hukufanya uchunguzi wa kutosha wa kumjua mwenzi wako hata kwa 3% na mapungufu yake na mazuri yake ili vikusaidie mbeleni kwa ulinzi wako binafsi katika kuhakikisha kile unachokiona mbele je kitakamilishwa na huyo mwenzi wako au la

USHAURI
1.Jipe mda wa kutulia usithubutu kutoa mwili wako kwa mwingine
2.Ili kusahau tukio lililokuumiza tafuta marafiki wakike/wakiume ambao hutakua nao katika mahusiano kwa kupiga stori za maisha hata kama zitakua za mahusiano waweza jielezea mwenyewe kwa mifano hii itasaidia kukupunguzia msongo wa mawazo
3.Ukiwa na marafiki wa kiume usijaribu kuwakubalia mara moja(kuingia katika mahusiano) jaribu kuwaweka kama marafiki huku ukiwachunguza na kujipima kama mnaendana na wanafaa kuwa nae katika mahusiano
4.Sala kwa Mungu wako itasaidia sada KUYASHINDA MAMBO AMBAYO YAMESHINDIKANA KWA MAWAZO YANGU HAPO JUU
5.Fanya mazoezi na Kusanyika na watu wenye mawazo ya juu(Uwezo mkubwa wa kufikiria na kushauri) au waliokuzidi ili wakushauri kwa ilo(wanandoa watakusaidia zaidi)
6.Kama unampenda na unafikiria kumpa nafasi Jaribu kupunguza ukaribu uliouweka wakati wa nyuma mkiwa katika mahusiano,kama mtapanga kukutana mkutane mahali pa wazi ili msiingie au usiingie majaribuni-Huku ukiwa unamchunguza kwa nia yakujilidhisha kama atakufaa kuwa mume wako,na usiwe mtu wa kumtafuta yeye ndo akutafute

NOTE;VANITY UPON VANITY IS VANITY :smile-big:

Umezidi kuyapunua mawazo yangu,nashkur sana kwa ushauri wako best. Ubarikiwe
 
Pole rafik, hauko peke'ako wengi tunaishi na vivuli vya watu ndoani! Tafakari kwa kina kabla hujafanya maamuzi, usikurupuke itakugharimu mbele ya safari!
 
Mimi nina maswali haya:
1. Ingekuwa ni mfanya biashara mwenzio amekudhulumu, ungefanya nae biashara tena???
2. Nadhani tatizo lako sio kwamba bwana huyu kakukosea, tatizo ni yeye kufanya uzinzi. Na nafikiri wewe umeumizwa na hilo. Angetenda kosa lingine ungeonaje?

USHAURI WANGU: Usiufuate Moyo wako. Kaa mbele uuongoze moyo wako. Kaa mbele uongoze hisia zako, sio hisia zikae mbele halafu kama zuzu unazifuata!
 
Back
Top Bottom