Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,318
- 7,984
Acha basi roho mbaya na ubinafsi,unajua fika wanawake ni wengi kuliko wanaume,unataka kumkumbatia mumeo pekeyako,sasa wenzako unataka wapone wapi?,"kweli njaa isikie tu kwa mwenzako"Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
umeandika kwa hisia hadi htari,pole sanaWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Halooooooooo SI shushu hilo shostiii, umetoa ya moyoni haswaa halooooo na badooooooKutambulishwa kitu gani ww, hata utambulishwe jiji zima mapenzi ni ya wawili na ukiona unaachwa jitazame sana ulikosea wapi ili usiachwe kwingine. Mwenzio kaguswa kashikilia kapendeka, mwingine katambulishwa kaona kamaliza kazi. Dunia ya ushindani hii.
Aisee, kumbe tunapitwa na wengine! 7? Mhh ebu unge m guote huu mstari huyu mamaUnalia nini sasa?
Biblia yenyewe inayajuwa haya:
Isaya 4 : 1
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Haahahha, aseeeNa wewe tembea na mume wake...
Nadhani anamjua mwizi wake, na huyo mwizi atakuwa ni member humu JF na ujumbe umemfikia.
Kama ulijua aseee
Wanawake acheni wivu,mko wengi sana,mnataka wenzenu wafe na kiu auWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Wamemuibia aiseee.... maana sio kwa povu hilo [emoji23] [emoji23]ha ha wamekuibia ? pole mkuu
akomae hakuna dawaWamemuibia aiseee.... maana sio kwa povu hilo [emoji23] [emoji23]
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.