Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,077
- 122,412
Hahaha! Sawa ila inataka moyo ujue.Emmyta kizuri kula na nduguzo bwana
Hahaha! Sawa ila inataka moyo ujue.Emmyta kizuri kula na nduguzo bwana
Aaahhh na siye tumempenda jamaniHA HAHA SI KAPENDA
Basi sawaAaahhh na siye tumempenda jamani
Cha mtu huliwa na mtu
Hapo lazma uliwe asee..... Labda tu ungekua chuma ndo ungeliwa na kutuIn that case....Mi ni mtu, na wewe ni wa mtu, Mpendwa. Tukutane kwaya.
Askar Muoga....utakuwa umetumwa na mkeo umsemee..hivi vitoto vina kasi mpya mzee...Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Hizi data umezitoa wapi?Aisee!! 70% ndo tabia ya wadada wa skuhiz