Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,077
- 122,413
Tena ajikaze haswa mana kwa kukosa kwao haya huwa hawasubiri kutongozwa.pole sana.... siku hizi haya zimewaisha na wako vizuri.. ukilegea anahamia kabisa huko.. kaza buti!!!!
Tena ajikaze haswa mana kwa kukosa kwao haya huwa hawasubiri kutongozwa.pole sana.... siku hizi haya zimewaisha na wako vizuri.. ukilegea anahamia kabisa huko.. kaza buti!!!!
Kwa comment hii ungekuwa karibu ningekupa pesapole sana.... siku hizi haya zimewaisha na wako vizuri.. ukilegea anahamia kabisa huko.. kaza buti!!!!
hhahahahahah hapo atakua kagusa pabaya maana nayo siku hizi fasheni.. wamejaa tele mjini.
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
hakuna mwanaume wa kwako peke yakoWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
Kabisa. Na hiyo ndio njia sahihi kuliko kukurupuka mana wengine hawachelewi kudhalilisha wake zao kwa makosa yao wenyewe.atakuwa analia sa hivi ila atulie ajitafakari kabla ya kuanza kunyoosha kidole kwa mwenzie na kukaa kimya kutaepusha mambo mengi hasa kugombana .. halafu baada ya kutulia amueleze mumewe kwamba anamuumiza anavyofanya ikishindikana dawa ni kukaa kimya afanye majukumu yake ipasavyo kama anamtoto alee mwanae basi..........
na asifanye kosa la kumtafuta mchepuko sababu hayupo level yake
kabisa mwanaume ukimpuuza anaumia sana anahisi anakijamaa anapiga .. kwa hiyo yeye ndiyo inauma ila ajikeep busy na smart tena zaidi ya alivyokuwa na aendelee kufanya mawasiliano kama kawaidaKabisa. Na hiyo ndio njia sahihi kuliko kukurupuka mana wengine hawachelewi kudhalilisha wake zao kwa makosa yao wenyewe.
Pia hakuna haja ya kushindana na huo mchepuko kwani kwa maisha ya sasa atajiumiza kichwa bure mana katika michepuko 10 yenye adabu labda 02.
kuwa ni wa jf heheheheInaelekea umeshamjua mchepuko wa mumeo
Tema mate chini mumy. We hadi mwenzio kamuundia uzi ujue anauma hata kama hajamuumba.mume wako umemuumba wewe? ungekuwa mke kweli asingetoka nje
inaauma nini?Tema mate chini mumy. We hadi mwenzio kamuundia uzi ujue anauma hata kama hajamuumba.
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
Inategemea na moyo wake mumy kuna wengine hawawezi lakini kumpuuza mtu ni bonge la dawa unamuacha anahangaika kukutilia mashaka kumbe huna lolote umeamua kumpuuzia.kabisa mwanaume ukimpuuza anaumia sana anahisi anakijamaa anapiga .. kwa hiyo yeye ndiyo inauma ila ajikeep busy na smart tena zaidi ya alivyokuwa na aendelee kufanya mawasiliano kama kawaida