Kutembea na mume wa mtu

Kutembea na mume wa mtu

Wakwangu wa pekeangu hayupoooo! Abgeobekana ningemtaka wakwangu
 
et hata kama mume wa mtu sumu hawaogop maana maziwa wanayo
 
Kama kutembea hutaki, je wakipanda bajaji kuna ubaya? Maana hili joto hapa town kwa kweli halifai kutembea
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako

Kizuri unakula na nduguyo mama, hiyo ni diversification of risk, hutaki kupunguziwa mzigo au wewe mnyamwezi
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
hakuna mwanaume wa kwako peke yako
 
atakuwa analia sa hivi ila atulie ajitafakari kabla ya kuanza kunyoosha kidole kwa mwenzie na kukaa kimya kutaepusha mambo mengi hasa kugombana .. halafu baada ya kutulia amueleze mumewe kwamba anamuumiza anavyofanya ikishindikana dawa ni kukaa kimya afanye majukumu yake ipasavyo kama anamtoto alee mwanae basi..........
na asifanye kosa la kumtafuta mchepuko sababu hayupo level yake
Kabisa. Na hiyo ndio njia sahihi kuliko kukurupuka mana wengine hawachelewi kudhalilisha wake zao kwa makosa yao wenyewe.

Pia hakuna haja ya kushindana na huo mchepuko kwani kwa maisha ya sasa atajiumiza kichwa bure mana katika michepuko 10 yenye adabu labda 02.
 
Kabisa. Na hiyo ndio njia sahihi kuliko kukurupuka mana wengine hawachelewi kudhalilisha wake zao kwa makosa yao wenyewe.

Pia hakuna haja ya kushindana na huo mchepuko kwani kwa maisha ya sasa atajiumiza kichwa bure mana katika michepuko 10 yenye adabu labda 02.
kabisa mwanaume ukimpuuza anaumia sana anahisi anakijamaa anapiga .. kwa hiyo yeye ndiyo inauma ila ajikeep busy na smart tena zaidi ya alivyokuwa na aendelee kufanya mawasiliano kama kawaida
 
Dada Poleee...ongeza utundu umbakishe mumeeee...waume ni kama paka hata umpe samaki akimuona panya tu lazima amtolee udenda!
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako

Povu.. Washamdhulumu
 
kabisa mwanaume ukimpuuza anaumia sana anahisi anakijamaa anapiga .. kwa hiyo yeye ndiyo inauma ila ajikeep busy na smart tena zaidi ya alivyokuwa na aendelee kufanya mawasiliano kama kawaida
Inategemea na moyo wake mumy kuna wengine hawawezi lakini kumpuuza mtu ni bonge la dawa unamuacha anahangaika kukutilia mashaka kumbe huna lolote umeamua kumpuuzia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom