Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,311
- 7,955
Wanawake ni wengi kuliko wanaume na wanataka wazoefu sio wanaojifunza,hahahahahahahhahahaha kizuri kula na mwenzako. Usimlaum mwizi wakati mwingine anayeibwa hujipeleka mwenyewe kwa mwizi tena kwakupiga magoti.