miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
akiweza hili ameshamshinda shetani sababu akitaka ligi nyumba itageuka uwanja wa mapambano na amani itatowekaInategemea na moyo wake mumy kuna wengine hawawezi lakini kumpuuza mtu ni bonge la dawa unamuacha anahangaika kukutilia mashaka kumbe huna lolote umeamua kumpuuzia.
