Kutembea na mume wa mtu

Kutembea na mume wa mtu

Inategemea na moyo wake mumy kuna wengine hawawezi lakini kumpuuza mtu ni bonge la dawa unamuacha anahangaika kukutilia mashaka kumbe huna lolote umeamua kumpuuzia.
akiweza hili ameshamshinda shetani sababu akitaka ligi nyumba itageuka uwanja wa mapambano na amani itatoweka
 
Watu wana majibu jamani yaani badala ya kutoa stress waweza jikuta zimezidi
 
Pole mwaya, fanya furaha yako isitegemee mtu ukiwa ndani ya ndoa kuna mambo meng muulize mmeo sababu ya kuchepuka ili Km ni ww ujirekebishe muish kwa furaha na amani
 
Wewe uliyebahatika kuolewa hongera, lakini ukumbuke kuwa wanawake mpo wengi sana kuliko wanaume sasa ukijimilikisha hivyo wenzio watakula wapi? Tulia bana
 
akiweza hili ameshamshinda shetani sababu akitaka ligi nyumba itageuka uwanja wa mapambano na amani itatoweka
Na mwisho wa siku ataiacha nyumba huku mume anamtaka na pia anatakiwa ajue hata akiachika huo mchepuko hauolewi huo upo kwa ajili ya starehe tu.

Hivyo ni vyema akatulizana.
 
Pole mwaya, fanya furaha yako isitegemee mtu ukiwa ndani ya ndoa kuna mambo meng muulize mmeo sababu ya kuchepuka ili Km ni ww ujirekebishe muish kwa furaha na amani
Haswaa asikimbilie maamuzi yasiyoeleweka hakuna mwenye ndoa iliyokamilika kwa 100% hivyo mapungufu yapo tu.
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Kutambulishwa kitu gani ww, hata utambulishwe jiji zima mapenzi ni ya wawili na ukiona unaachwa jitazame sana ulikosea wapi ili usiachwe kwingine. Mwenzio kaguswa kashikilia kapendeka, mwingine katambulishwa kaona kamaliza kazi. Dunia ya ushindani hii.
 
Kutambulishwa kitu gani ww, hata utambulishwe jiji zima mapenzi ni ya wawili na ukiona unaachwa jitazame sana ulikosea wapi ili usiachwe kwingine. Mwenzio kaguswa kashikilia kapendeka, mwingine katambulishwa kaona kamaliza kazi. Dunia ya ushindani hii.
We baki hapo hapo na mawazo yako ya mtaani. Una uhakika gani na unayoyasema?
 
Tatizo ni sisi waume za watu. Kuna possibility pia kwamba nyie wake zetu mmechangia hii hali kwa namna flani hivi. Hao ''singles'' hawana kosa hata kidogo.
 
kabisa tatizo la wake wengi wanajiwekaga level za michepuko ndiyo shida .. ila siyo ndiyo ujisahahu
Na ndio shida iliyopo kwa baadhi ya wanawake walio kwenye ndoa. Mana ukijifananisha na mchepuko siku zote utakosa kujiamini.
 
Na mumeo umemwambia lakini jinsi alivyo mpumbavu, amevunja kiapo chenu cha ndoa, analeta migogoro na magonjwa ndani ya nyumba, anavyorudisha maendeleo ya familia kwa kuhudumia mchepuko na starehe nyingine (teh michepuko mingi inakaa kwenye neema tu), umemwambia pia jinsi mchepuko unavyomtumia kufanikisha mambo yake? Arudi haraka, akae na mkewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom