Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Yeye kwake ni sifa, haijui OBESITY.Jamani - obesity ni ugonjwa - mwoneeni huruma.
Yeye kwake ni sifa, haijui OBESITY.Jamani - obesity ni ugonjwa - mwoneeni huruma.
Analipa ila lazima ufunge turbo kupambana nae kwenye gemu!!
unaposema watanzania mtajua lini.....unamaanisha watanzania hawajui a simple thing like obesity!!Kitimoto @ its best: Watanzania mtangundua lini kuwa mnahatarisha maisha yenu kwa kuwa na miili ya uzembe? Mnakula vyakula vichafu halafu mnakuwa na miili ya kutepeta (minyama uzembe)! Kuna jamaa nilikutana naye tegeta jana(tulikuwa tuna kama mwaka hivi hatujaonana) amekuwa na kitambi kama mwanamke mwenye ujauzito wa triplets! Halafu yeye anajisikia saaafi sana - Amevaa "blauzi" ili kionekanae vizuri!
Huyu hana lolote ni changu tu wakawaida pale dodoma bar ya 11karibu na peter fasion. Alipata ujauzito akiwa o,level mpaka anajifungua hamna m2 aliyejua.aliamka asbh anataka kwenda shule akasikia uchungu akapelekwa leba.
kaka ringo banaaaa...cant u please spare her a lil privacy?...ni mwanadamu anafanya makosa na anayo nafasi ya pili ya kuyarekebisha...u-changu ni tabia na hubadilika pia...sasa kwa kauli yako hii shemeji yetu akipita hapa inaweza kumuharibia uchumba wake unaokaribia kuzaa ndoa soon...please withdraw ur "poisonus statement"..i beg u ...natanguliza shukrani
........Na huyo aliemkumbatia ni nani???, au BWABWA nn huyo Bonge!!!!!!