Kutana na harusi ya aina yake

Kutana na harusi ya aina yake

Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
HHAHAHAHAA UNA UTANI NA ZAKARIA WEWEE... ETI JAMAA HALINA MBELE WALA NYUMA!!!!!!!!!! KWANI WEWE ULIJIUMBA? USIMPANGIE MUNGU KAZI YAKE!
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Kwa hiyo jamaa hana haki ya kuoa kwa sababu sura lake baya?.....noma bana kaumbwa kwa mfano wa Mungu huyo .....!
 
Kuna umri ukifikia mapenz huwa how u communicate na sio how u two looks .......kuhusu uwanjan kuna ufundi kwa kila mtu...mpira wa rahim sterling n watofaut sana na caroll
 
Nawapongeza wanawake kwa kutojali maumbile ya mtu inapokuja suala la mapenzi! Vinginevyo walemavu wasingeoa kabisa!

Mlemavu kiwete kabisa lakini utakuta kaoa binti beautiful ile mbaya!!

Acheni hizo binadamu huijui kesho yako!!!
 
Mke atakuwa ana lala juu
Kila siku Mtindo mmoja, inakuwa sio kweli.

Tendo mtakuwa hamlifurahii.

Raha ya Faragha kubadili badili mitindo.

Sasa huyo jamaa siku akisema apige kifo cha mende (Missionary).

Wewe unafikiri Usalama utakuwepo kweli?
 
Pesa mkuu tafuta Pesa kwa juhudi zote.

Bila Pesa Jay Z angeishia kupiga nyeto na picha ya Beyonce.
 
Mwili wote huo usishangae jamaa kuwa kibamia.
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Unajuaje kama jamaa ana pesa na binti hana?Acheni hizo,kwani sura siyo issue Bali utu wa ndani ndio kitu cha msingi
Ni maharusi wenye uwiano wa maumbo tofauti sana.
Ama kweli, mapenzi upofu

View attachment 455276 View attachment 455277 View attachment 455278
 
Back
Top Bottom