HHAHAHAHAA UNA UTANI NA ZAKARIA WEWEE... ETI JAMAA HALINA MBELE WALA NYUMA!!!!!!!!!! KWANI WEWE ULIJIUMBA? USIMPANGIE MUNGU KAZI YAKE!Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Kwa hiyo jamaa hana haki ya kuoa kwa sababu sura lake baya?.....noma bana kaumbwa kwa mfano wa Mungu huyo .....!Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Umejuaje kuwa alifuata pesa?Wanyarwanda hao jamaa ana pesa mbaya na maduka ya spea za magari.Wanaishi Gisenyi ktk hekalu la mfano!Bt yule binti alifuata pesa tu!
Nawafahamu ndg.Umejuaje kuwa alifuata pesa?
Usitafute bwana kwa nguvu. Fanya kazi.akunusuru wewe mja wake kwani huyo mwingine si mja wake? acheni kukufuru kisa nyie mko vizuri.
Kila siku Mtindo mmoja, inakuwa sio kweli.Mke atakuwa ana lala juu
Unajuaje kama jamaa ana pesa na binti hana?Acheni hizo,kwani sura siyo issue Bali utu wa ndani ndio kitu cha msingiWanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Ni maharusi wenye uwiano wa maumbo tofauti sana.
Ama kweli, mapenzi upofu
View attachment 455276 View attachment 455277 View attachment 455278
So kila mtu mnene anapesaeKamefata pesa hako..
Ila hapa zipo maana hii si couple ya kawaidaSo kila mtu mnene anapesae

Unauliza kibamia kwa tumbo hiloMwili wote huo usishangae jamaa kuwa kibamia.
mkuu acha masihara uliza kitu kingine hapo kibamia ndio nyumbani kwake
