Baby M
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 1,037
- 415
CHUKI BINAFSI IMEKUJAA, YANI B`DAM TUNA MENTALITY ZA U`NEGATIVITY KILA KUKICHA. YES, OK TUSEME ANA PESA, ALHAMDULILLAH MUNGU KAMPA AKILI YA KUFANYA KAZI KAZIPATA NA AKAWEZA LIPIA MAHARI KUPATA UBAVU WAKE WA PILI.. NYIE MSIO NAZO MTABAKIA KUWA NEGATIVE HVYO HVYO, WENZENU KILA J`MOS WANAOA!Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Alioa Remmy ongala, eti jamaa sura mbaya, unajua moyo wake ukoje, et w`wake ni wawakilishi wa lucifa, please ulizaliwa na mwanaume nini wewe. (yani i took it personal kabisa), huwezi tukana wanawake kisa wanafanya vitu visivyokupendeza wewe kiumbe mmoja...