Kutana na harusi ya aina yake

Kutana na harusi ya aina yake

Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
CHUKI BINAFSI IMEKUJAA, YANI B`DAM TUNA MENTALITY ZA U`NEGATIVITY KILA KUKICHA. YES, OK TUSEME ANA PESA, ALHAMDULILLAH MUNGU KAMPA AKILI YA KUFANYA KAZI KAZIPATA NA AKAWEZA LIPIA MAHARI KUPATA UBAVU WAKE WA PILI.. NYIE MSIO NAZO MTABAKIA KUWA NEGATIVE HVYO HVYO, WENZENU KILA J`MOS WANAOA!
Alioa Remmy ongala, eti jamaa sura mbaya, unajua moyo wake ukoje, et w`wake ni wawakilishi wa lucifa, please ulizaliwa na mwanaume nini wewe. (yani i took it personal kabisa), huwezi tukana wanawake kisa wanafanya vitu visivyokupendeza wewe kiumbe mmoja...
 
wazazi wa huyu binti watakuwa wanalipa deni....duhhh
 
Ngoma ni kwenye kula papuchi sasa
 
Nasemaje mission impossible, yani mechi lazima itakuwa ngumu kucheza
Ndo kwanza itakuwa nyepesi. Kwa mtazamo wangu hii kapo ipo vizuri tu kwani kuoana wote mabonge au wote vimbaumbau pia haipendezi. Hapo ndo sawa, mission possible
 
Back
Top Bottom