Kutana na harusi ya aina yake

Kutana na harusi ya aina yake

Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Sura ya huyu kaka ina ubaya gani? Hebu weka picha yako tuone ulivyo mzuri. Jina lako halifanani na andiko lako. Wise person hawezi kumsemea maneno haya binadamu mwenzake, kwani unafikiri yeye alijiumba?
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
You are a boy...
 
Kwa umbo hilo,kuna uwezekano mkubwa akawa kibamia FC,kwa kweli anatafuta lawama tu hapo,kuchapiwa lazima.
mzee wa aviation,kumbe na wewe una kashfa?
Off topic:Sipo bongo kwa sasa,vipi ulifika kwenye maziko ya Mhaiki,maana siku ile ulimuelezea vizuri sana kwenye uzi wa msiba wake
 
Mz

mzee wa aviation,kumbe na wewe una kashfa?
Off topic:Sipo bongo kwa sasa,vipi ulifika kwenye maziko ya Mhaiki,maana siku ile ulimuelezea vizuri sana kwenye uzi wa msiba wake
Hapana kaka,nilitingwa mno...nasikitika sikufika kumuaga,huwa nakutana sana na yule dogo Methew,nitampa pole zangu.
 
Hapana kaka,nilitingwa mno...nasikitika sikufika kumuaga,huwa nakutana sana na yule dogo Methew,nitampa pole zangu.
Sure Sure!!Mimi pia nikirudi i have to go and see where my Comrade's body slept!!
Alikuwa comrade wangu wa kweli...Mtu wa watu mwenye roho ya utu...Say sorry to Mathew!!I real feel sorry to him
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
ninaona kuzidiwa kete na jitu la miraba minne.

Nawewe katafute kibonge.
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Acha unafik...kwa hy wanaume wabaya hawana haki ya kupata papuch??..
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
They the most dangerous creatures in the world,ndiyo nini kwanza tafsiri yake?
Nikikutana na maelezo ya kibaguzibaguzi kama haya ya kwako huwa sipiti kimyakimya, lazima niache neno.
Wajihi na haiba ya mtu haichambuliwi kirahisirahisi namna hiyo kwa macho yadanganyayo.
Kwa matamko yako hayo, umeidhalilisha "tasnia" ya mapenzi na ndoa.
Hivi kwa mtizamo wako hapo ilitakiwaje unavyopenda wewe kwa mfano?
Kinacho waunganisha watu kimahusiano huwa ni nini ni maumbile ya mwili?
Niishie kukuuliza vimaswalimaswali, ili kukuweka katika njia ya kuweza kutafakari kwa umakini maneno yako kabla haujayatoa kwenye kadamnasi.
Upendo wa mtu, ndiyo pekee humuongoza kwenye chaguo lake. Ni msukumo utokao katikati kabisa ya roho yake.
Hauwezi wewe from no where kuanza kujadili penzi la watu kwa kuoanisha sura ama maumbile! Halafu si kila ndoa ama mahusiano ya watu yakawa na mtizamo wa aina1!
Wengine yawezekana wameoana kwa malengo mahsusi, ambayo mwenzangu na mimi hauwezi kujua.
Inamaana wewe kwa mtizamo wako rahisirahisi ungekuwa ni mzazi wa yule mwanamke, ndoa hiyo ungeivuruga pakubwa. Chanzo cha laana mara nyingi husababishwa na watu wenye akili na msimamo kama wako.
Unene ama wembamba unamahusiano gani katika kuleta dosari ya upendo?
Ulishasikia wapi wembamba kwa wembamba ama wanene kwa wanene ndiyo couple wazuri wanaoweza kudumu katika mahusiano yao?
Yaani maoni yako wewe yanatakiwa kupata ushauri wa kisaikolojia kuweza kukujenga ili kurekebisha msimamo wako wa kibaguzi ambao kamwe hauwezi kujenga katika kushauri, bali kubomoa na kusambaratisha.
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa

Mbona mama yako alikubali kuolewa.na baba yako?
Unene na wembamba sio permanent.
Unajua wametoka wapi?
Fantasy za huyo Dada wazijua?
What if Huyo Dada ni kwamba akiona mwanaume mmnene yeye hoi?. Ndoto yake ilikuwa kuolewa na mwanaume mneneee... Na mwanaume ndoto yake ni kupata mke mwembamba?
Acha mawazo ya kimaskini ndugu. What if mwanamke ndio mwenye faranga za kutosha?.
Mkeo/GF anatoka na wanaume wanene. Chunguza utagundua.
 
kuna wanawake humu JF wenye hulka kama za mabinti hao? mana kuna mmoja kashatajwa hapo juu sijui ni kweli!
Huyo kamtaja kimzaha. Na kwakuwa Miss Chagga mpole imepita kimyakimya.
Angefananisha kwa kumtaja mtu kama Miss Natafuta,ili aone! Comment hiyo ingeungua kwa kuwaka moto na asingerudia kufanya ujinga maishani.
 
Naona wanamume tunapondana hapa ! sidhani kama jamaa aliomba awe hivyo umbo kapewa na mola wake ndio maana katika jozi unachokiona kibaya weye mwenzio anakivisha pete tukosoane kuhusu tabia lakini maumbile tunakwenda mbali sana . Acha nichukue fursa hii kuwapongeza maharusi japo siwajuI wawe na ndoa njema .
 
Back
Top Bottom