Kutana na harusi ya aina yake

Kutana na harusi ya aina yake

Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
mahali umenikosea ni ulivyosema sisi ni wawakilishi wa lucifa, then unaanza kuandika lucifa eti kwa herufi kubwa. yaan umenichosha kabisa. you mean umezaliwa na muwakilishi wa lucifa? wakati mwingine mnavyoandika comment mkumbuke muna dada, mama na shangazi zenu.

nimechukia sana kwa kweli.
 
mahali umenikosea ni ulivyosema sisi ni wawakilishi wa lucifa, then unaanza kuandika lucifa eti kwa herufi kubwa. yaan umenichosha kabisa. you mean umezaliwa na muwakilishi wa lucifa? wakati mwingine mnavyoandika comment mkumbuke muna dada, mama na shangazi zenu.

nimechukia sana kwa kweli.
Hila kweli kakosea make unaposema wanawake its mean had mama ake
 
What you wrote n what you wanted to mean are quite different. She has been dumped, that's your implication I guess mkuu
mimi nilielewa na hata wewe ulielewa ndo maana ukaweka kizungu kizuri. asante kutufundisha kiingereza
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
We unaongea nini..acha utoto
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Mbona Zakaria n handsome jaman sema kiswahili tu ndo kibaya. Ukiwa na pesa hata kama sura lako lmepinda ww n handsome. Mwanaume mzuri kwan namla nyama.
 
Mi nashangaa comment za wanaume humu mara Sijui kafata pesa na nn lakin mnashindwa kuelewa kwamba kwa uzuri alionao dada hapo angeweza kumpata tu mwanaume handsome na mwenye mapesa lakin sisi hatujui wapi wametoka mpaka kufikia hapo in short ni kazima kuna jambo limemfanya huyo Dada mpaka kuamua kuolewa nae jamaa ana haki ya kupendwa kila MTU anahaki ya kupenda na kuchagua wake hongera kaka na hongera dad kwa ujasiri wako big up
 
Wanawake ni viumbe hatari Sana, wanawake ni wawakilishi wa Lucifa kabisa.
Huyo binti hajaolewa na binadamu, bali kaolewa na pesa, jamaa lina sura mbaya na linatisha Kama Zakaria yule tajiri wa mabasi ya Tarime.
Aisee, acheni wanawake waitwe wanawake, they the most dangerous creatures in the world.
Yaani Kama ni Dada Yangu hiyo harusi ningeisusia aise.
Binti mrembo halafu jamaa halina mbele wala nyuma...
Wanawake ni hatari jamani, yaani hapo pesa ndo imeoa, kina miss chagga hawa waoneni hivyo hivyo tu ni balaa
Ila jaman pesa tunazipenda ila sio kwa kiasi hiki chaa! Mtoto wangu me simpi iyo mbegu atakuja nilaani baadae bure
 
Kamefata pesa hako..
binadam hatunaga jema, angemtosa mngesema kabagua shepu. Utakuta watu wana mapenz yao ya kweli. kama Mungu kakupangia wako ni wako tuu piga uwa garagaza, HATA AWE NA SHEPU KAMA GURUDUM.
 
Back
Top Bottom