- Thread starter
- #61
Kuna watu wako adikted kiasi kwamba wakiwa bize sana wanamwomba Invizibo awapige BAN la hiari.
Waweza chukua staili hiyo, lakini si kuondoka mazima.
Ukiondoka ntalia. Na machozi ya babu ni mafuriko kwa mjukuu. Unapenda mafuriko weye?
Hee babu kwani mi nimesahau enzi za Elnino??? mi staki kabisa kusikia mafuriko....
Mjukuu anarudi taratibu jamvini.... Mjukuu ame-sarenda kwa Babu...
Bora ale ban (adhabu) kuliko kukaribisha mafuriko (machozi ya babu)