Kushukuru na kuaga...

Kushukuru na kuaga...

kahawa will tempt me, maana kahawa ya JF nina branding ya JF, ukinywa tu, unasahau kuaga...LOL

Ninakuomba leney,
Usimkimbie kimey,
Kaa mpaka mwezi Mey,
Babu nitakupa Hey!

Bila ya wewe jamvini,
Babu takuwa tabuni,
Naomba yako hisani,
Ubaki kwetu kundini.

Babu nitasikitika,
Japo sitakasirika,
Kukukosa kwa hakika,
Nitaishi kwa mashaka.

Unataka kuniua,
Kwa presha kujifilia?
Hebu badiliyo nia,
Bado twakuhitajia.

Watu wote semeni..TUNAKUPENDA LENEY, USIONDOKE LENEY!

Babu anaitikia Amina, japo ana hangover Mungu atamsamehe na kuisikiliza sala yenu.

Narudi kitandani kulia kwa ajili ya Leney kutukimbia.
 
Hapa JF waweza sahau ma-shida yako yote...

But if I go for it, huku ntalala njaa mpendwa... ntakua mgeni wa nani sasa?

you go for it kwa machale.si unajua mguu nje mguu ndani kana sisi wengine.lakini usijitenge kabisa.unaweza ukawa na hali mbaya kuliko sasa au ukaishia kua addicted na swala lingine ambalo ni hatari kuliko jf
 
If thats the case...babu anatupa mkongojo wake, babu anasahau ugoro wake, babu anaongozana na Leney wake kwenda kwenye nchi ya kusadikika.

Wajukuu niagieni kwa bibi enu. Lets go Leney darling. Lets go!

hahaha!huyo ndo babu huyo,huyo na fild masho huyo,huyo ndo babu matiti huyo,huyo ndo big braza odm huyo......ghafla umetupa mkongojo?kwanza ulivyonichekesha kule kwa sred ya chatrum nimekununia,huna huruma na mbavu zangu!
 
Babu ona sasa, nisingejibu tu ile post yako ndo dawa...maana hapa am bizzy smiling...WE NDO UMESABABISHA...aaagggrrr!!!

Hapo kwenye red...ntakua nakimbia mvua nakimbilia baharini...yaani nakimbia addiction, halafu naondoka na addiction source..LOL

Leney has refused...Leney is being a strong girl... so Leney must go ALONE!!

Babu aint let you go alone. Leney aint go alone. babu will go with you, mpaka ajue mjukuuye aendako.
 
hahaha!huyo ndo babu huyo,huyo na fild masho huyo,huyo ndo babu matiti huyo,huyo ndo big braza odm huyo......ghafla umetupa mkongojo?kwanza ulivyonichekesha kule kwa sred ya chatrum nimekununia,huna huruma na mbavu zangu!

Sorry mjukuu,

leo babu yuko bize na Leney......wajukuu alionipa Mungu...sitampoteza hata mmoja.

Ntawaacheni nyie 99 kwa bibi yenu wakati nahaha kumrudisha huyu mmoja. Lazima muwepo wote 100.

Leney, where r u @? Babu is looking for you!
 
Oh Leney,karibu tena dearest......si twaingia we watoka jamani......
 
Sorry mjukuu,

leo babu yuko bize na Leney......wajukuu alionipa Mungu...sitampoteza hata mmoja.

Ntawaacheni nyie 99 kwa bibi yenu wakati nahaha kumrudisha huyu mmoja. Lazima muwepo wote 100.

Leney, where r u @? Babu is looking for you!

hahaha!leney is no where to be seen,babu rudi kitandani kwa huzuni,,lol
 
Leney kwani waenda wapi? Usicheze mbali,unga robo! Jf is not a place to come and go,it is a place to come n Stay. Stay Leney! Si mpaka ukija jamvin utoe mchango,unaweza sign in kwa dk.7 ukasoma threads zote alaf ukaenda kwa mengne,wengi twafanya ivo ila tukipata mda ndo tunakaa! Si ujiulize posts perday hazizidi 150,lakini viewers utakuta 1000,2500,3000+per day? Plz usiende mbali nasi,kwa sababu bado twakupenda!
 
hahaha!thx dearest,nimecheka ingawa on the other side umenihuzunisha!the smile will alwayz be here 4 u,naomba usikawie kurudi,,,gud cheer

Haha.. usihuzunike mpenzi... ntarudi...au sijui ndo nimesharudi..LOL
keep smiling...
 
Ninakuomba leney,
Usimkimbie kimey,
Kaa mpaka mwezi Mey,
Babu nitakupa Hey!

Bila ya wewe jamvini,
Babu takuwa tabuni,
Naomba yako hisani,
Ubaki kwetu kundini.

Babu nitasikitika,
Japo sitakasirika,
Kukukosa kwa hakika,
Nitaishi kwa mashaka.

Unataka kuniua,
Kwa presha kujifilia?
Hebu badiliyo nia,
Bado twakuhitajia.

Watu wote semeni..TUNAKUPENDA LENEY, USIONDOKE LENEY!

Babu anaitikia Amina, japo ana hangover Mungu atamsamehe na kuisikiliza sala yenu.

Narudi kitandani kulia kwa ajili ya Leney kutukimbia.
Hii lazima niandike kama kumbukumbu.... Babu kanitungia shairi... sijui nikafungue thread nikali-paste hili shairi...LOL
babu basi mi naona nikae hadi mwezi mei...
Hili shairi limeningiia kichwani,
Lakini sasa inabidi mbavu zangu nizifungulie na kuzilipia bima...

Mjukuu Leney kashawishiwa na Babu...Mjukuu Leney kaanza kubadili mawazo...
 
Sorry mjukuu,

leo babu yuko bize na Leney......wajukuu alionipa Mungu...sitampoteza hata mmoja.

Ntawaacheni nyie 99 kwa bibi yenu wakati nahaha kumrudisha huyu mmoja. Lazima muwepo wote 100.

Leney, where r u @? Babu is looking for you!

Mi siamini babu kama una hangover...mbona maneno hayo ni kama nilishawahi yaona kwenye bible?
babu inabidi ufungue kanisa...
Utuombee na sisi wenye addiction...
 
Oh Leney,karibu tena dearest......si twaingia we watoka jamani......

Thanks dearest...
Yani hapa inabidi uone jinsi gani hum ni pazuri...hadi nimekuwa addicted....
Karibu na feel at home..naomba nikirudi nikukute..sawa mamie?
 
Thanks dearest...
Yani hapa inabidi uone jinsi gani hum ni pazuri...hadi nimekuwa addicted....
Karibu na feel at home..naomba nikirudi nikukute..sawa mamie?

Sawa mamii,utanikuta hapa!!
Uende salama,urudi salam!
 
OMG....where is babu's Leney?

Leney come back pleeeeaaaase!

Please come back for me...........

Hahahahha...yani we Babu ni pure comedian..LOL
Babu lakini nini???? mi mjukuu wako sasa hata sieleweki...sa ivi mguu mmoja umetoka nje ya jamvi, mwingine unarudi...

Babu let ur mjukuu goooo, pleeeeease....

Pliz Babu Pliz
 
So hard to miss one of the members please if you can unaweza ukapunguza..., cut out some days au make it one hour a day.., kweli addiction is bad lakini unaweza kutumia JF kama ndio information medium yako, just checking some breaking news before you go to be bed.. I hope you will rethink this Leney.... If its not possible then hope to see you soon
 
you go for it kwa machale.si unajua mguu nje mguu ndani kana sisi wengine.lakini usijitenge kabisa.unaweza ukawa na hali mbaya kuliko sasa au ukaishia kua addicted na swala lingine ambalo ni hatari kuliko jf

Shida sasa ni kubalance ili nije kwa machale...sijui wewe unawezaje???
 
Hii lazima niandike kama kumbukumbu.... Babu kanitungia shairi... sijui nikafungue thread nikali-paste hili shairi...LOL
babu basi mi naona nikae hadi mwezi mei...
Hili shairi limeningiia kichwani,
Lakini sasa inabidi mbavu zangu nizifungulie na kuzilipia bima...

Mjukuu Leney kashawishiwa na Babu...Mjukuu Leney kaanza kubadili mawazo...

Enyi watu wote pigeni makofi.....enyi watu wote pigeni makooofi.......
Mpigieni Bwana Mungu wetu, mshangilieni kwa vigelegele:

Kwako mjukuu wangu Leney:

Ahsante nakupatia,
Weme ulonifanyia,
Umeshindwa nigomea,
Ombi umelisikia.

Ninakuweka moyoni,
Sisahau asilani,
Hivi unajuani,
Jisikiavyo nafsini?

Kukulinda naahidi,
waweza weka shahidi,
Muda wako sina budi,
Kuutunza inabidi.

Au kwa kibongofleva:
Sasa huyo ndo leney sasa,
Vile amemsikia babu sasa,
Merudi jamvini kwa wema sasa,
nakuwa mtiifu kwa babu sasa....

Sasa vile amemtii babu sasa,
sasa vile amerudi jamvini sasa,
Sasa vile babu tamlinda sasa,
Sasa ulinzi keshapata sasa,
Babuye tatoa adiksheni vileeeee

kama haitoshi:

kamata na hii kama bakshishi na kumbukumbu yako na ya vizazi vijavyo.
The Following User Says Thank You to Leney For This Useful Post:

Asprin (Today)

Usisahau. SENKSI moja ya babu ni sawa na mia za wajukuu.
 
Kila la heri Leney...lakini sijakuelewa vizuri sijui kwa sababu ya Lugha ya kiswahili na kiingereza kuingiliana? Ina maana unaenda Bungeni au??? na Je utakuwa hauingii kabisa au la? Lakini mbona umeondoka bado tunakuhitaji Leney na bado ulikuwa mgeni kabisa..... Mungu akupe kinogeo( addiction) kingine ufurahi zaidi...Lakini kama wewe ni mbunge usitusahau sisi tunaomka tusijue leo twala nini...
 
Back
Top Bottom