Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Habari zenu wandugu,
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa baada ya kuona mara nyingi tumekuwa wepesi wa kulalamika na kulaumu kila wakati huku neno shukrani likiwa mbali na midomo yetu. Je ni kweli hata wale waliokukosea sana kwenye maisha yako awe mume/mke ,rafiki ,kingasti,jirani,mzazi hana jema hata moja alilotenda kwenye maisha yako ambalo linahitaji shukrani.
Je ni mara ngapi tumekuwa tukishukuru kwa yale ambayo Mungu ametubariki nayo kwenye maisha yetu?
Napenda kuwashukuru marafiki wote wa MMU kwa kutengeneza na kubadili mtazamo wangu kwenye suala zima la mahusiano .
MMENITOA MBALI MUNGU AWABARIKI.
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa baada ya kuona mara nyingi tumekuwa wepesi wa kulalamika na kulaumu kila wakati huku neno shukrani likiwa mbali na midomo yetu. Je ni kweli hata wale waliokukosea sana kwenye maisha yako awe mume/mke ,rafiki ,kingasti,jirani,mzazi hana jema hata moja alilotenda kwenye maisha yako ambalo linahitaji shukrani.
Je ni mara ngapi tumekuwa tukishukuru kwa yale ambayo Mungu ametubariki nayo kwenye maisha yetu?
Napenda kuwashukuru marafiki wote wa MMU kwa kutengeneza na kubadili mtazamo wangu kwenye suala zima la mahusiano .
MMENITOA MBALI MUNGU AWABARIKI.