Kushuka kwa thamani ya Tshs dhidi ya USD tatizo ni nini?

Sep 10, 2023
20
65
Thamani ya Ksh inaonekana kuimarika dhidi ya Dollar lakin kwa Tsh inazidi kuporomoka na dollar inazidi kuwa adimu ni jambo gani hawa majiran zetu wanafanya vyema zaidi sisi hatukifanyi?

IMG_6490.png
IMG_6489.png
 
Hivi, ni kwamba Tshs haina thamani au? Kwa nini nchi nyingi hulinganisha pesa yao na Dollar! Kwa nini isilinganishwe na ya kichina,Russia au nchi nyingine yoyote!
 
Nimeuliza hivi kwa sababu,unakuta hata kwenye manunuzi,pesa inachenjiwa na kutamukwa kwa dola. Ni kipi hasa kinachofanya dola ndo iwe kimbele mbele!?
Factors that contribute to the dollar's dominance include its stable value, the size of the U.S. economy, and the United States' geopolitical heft.

In addition, no other country has a market for its debt akin to the United States', which totals roughly $22.5 trillion.
 
Factors that contribute to the dollar's dominance include its stable value, the size of the U.S. economy, and the United States' geopolitical heft.

In addition, no other country has a market for its debt akin to the United States', which totals roughly $22.5 trillion.
Now understood
 
Hivi, ni kwamba Tshs haina thamani au? Kwa nini nchi nyingi hulinganisha pesa yao na Dollar! Kwa nini isilinganishwe na ya kichina,Russia au nchi nyingine yoyote!
Historia fupi...
1.Kipindi cha Vita vya pili vya dunia,Marekani ilipiga pesa sanaaa.Uchumi wake uliimarika sana.
2.Baada ya Vita,Marekani alikopesha nchi nyingi sana,Ulaya na Asia.

3.Kipindi hiko Dhahabu, ndiyo ilikuwa inatumika kama fedha kati ya nchi mbili,yani exchange rate ilijikita kwenye dhahabu.

4.Marekani ilijikuta hazina yake ya dhahabu ina pukutika,na nchi nyingi zilishindwa kurejesha mikopo yao.

5.Marekani ,ikaamua kufuta kutumia utumizi wa dhahabu, na kutaka dollar ndiyo itumike kurejesha mikopo yake.

6.Benki kubwa zote ikabidi wawe na hazina ya Dollar,kwa ajili ya kulipa mikopo na kufanya biashara.

Huo ndiyo mwanzo wa Dollar kuwa muhimu.
 
1.Miradi mikubwa ya Ujenzi tuliyonayo
- yote inajengwa na wakandarasi kutoka nje,
-Malipo ya miradi hiyo inafanyika kwa dola.

2.Mikopo kutoka nje.
-Mikopo mingi malipo yake hufanyika kwa dola
-Thamani ya riba ya benki kuu Marekani ikiongezeka ina maana tunalipa dola nyingi zaidi.

3.Tunaagiza sana bidhaa kutoka nje...
 
Back
Top Bottom