NMB Yazindua Hati Fungani ya Jamii Bond Yenye Thamani ya Shilingi Trilioni.Yavunja Rekodi ya Kijani Bond ya CRDB

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,064
49,751
Naona banks zimeingia kwenye ushindani wa bonds Kufuatia kuimarika Kwa Biashara ya mikopo yaani watu na kampuni za biashara zinamiminika sana kukopa hivyo banks zinalazimika kutafuta pesa Kwa Ajili ya kukidhi soko la mikopo.

Baada ya CRDB kuzindua Kijani Bond yenye thamani ya Dola za Marekani 300 sawa na zaidi ya bil.700 za Madafu,NMB nao wamekuja na kubwa kuliko inaitwa Jamii Bond ya Trilioni Moja.

Haya kwenu wenye mapesa Yao kama Wastaafu na wengine mnaofikitia muwekeze nini na wapi ,katunzeni mapesa yenu huko kwenye banks.

Kwa hatua hizi ni wazi Uchumi unazidi kufunguka na Biashara zimerejea Kwa Kasi sana.

======

Benki ya NMB hii leo imezindua na kutangaza rasmi dirisha la uwekezaji wa toleo la kwanza la kuuzwa kwa hati fungani iliyopewa jina la hati fungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) yenye lengo la kukusanya fedha ambazo zitawezesha utolewaji wa mikopo yenye kuleta matokeo chanya kwenye jamii kupitia miradi ya mazingira, afya, elimu, wanawake na vijana, pamoja na miradi inayolenga kuhakikisha usalama wa chakula.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna akiongea katika halfa ya uzinduzi huo amesema “Lengo letu ni kukusanya Tsh. bilioni 75, tunaishukuru Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kwa kuruhusu ongezeko la mpaka Tsh. bilioni 25, pia idhinisho la USD million 10 limetolewa, na kuruhusu ongezeko la mpaka USD milioni 5, ambapo jumla inafikia USD milioni 15, itakayouzwa kwa Mashirika na Wawekezaji walioko nje ya Tanzania"

Hati hii fungani ya NMB Jamii imepewa muda wa uwekezaji wa miaka mitatu ambapo Wawekezaji watapata riba ya asilimia 9.5 kwa mwaka na kulipwa mara nne huku kiwango cha chini cha uwekezaji kikiwa ni Shilingi laki tano (500,000) ambapo dirisha hilo la Uwekezaji likitegemewa kufungwa Octoer 27, 2023.

Benki ya NMB pia imezindua programu ya muda wa kati (Multicurrency Medium Term Note – MTN) ya miaka kumi yenye jumla ya Tsh. trilioni moja iliyopewa idhini na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kwa muda wa miaka 10.

Hafla hiyo imefanyika Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Mgeni rasmi Nehemiah Mchechu ambaye ni Msajili Mkuu wa Hazina akiambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya NMB, Dkt. Edwin Mhede.
 
Naona banks zimeingia kwenye ushindani wa bonds Kufuatia kuimarika Kwa Biashara ya mikopo yaani watu na kampuni za biashara zinamiminika sana kukopa hivyo banks zinalazimika kutafuta pesa Kwa Ajili ya kukidhi soko la mikopo.

Baada ya CRDB kuzindua Kijani Bond yenye thamani ya Dola za Marekani 3000 sawa na zaidi ya bil.700 za Madafu,NMB nao wamekuja na kubwa kuliko inaitwa Jamii Bond ya Trilioni Moja.

Haya kwenu wenye mapesa Yao kama Wastaafu na wengine mnaofikitia muwekeze nini na wapi ,katunzeni mapesa yenu huko kwenye banks.

Kwa hatua hizi ni wazi Uchumi unazidi kufunguka na Biashara zimerejea Kwa Kasi sana.

View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1706295494060720431?t=j1sLf071dnb9XAa0tl724Q&s=19



"Baada ya CRDB kuzindua Kijani Bond yenye thamani ya Dola za Marekani 3000 sawa na zaidi ya bil.700 za Madafu,NMB nao wamekuja na kubwa kuliko inaitwa Jamii Bond ya Trilioni Moja."

Mahesabu yako yamekaaje ndugu!
 
Hii imekaa kwa wajuzi WA hizo mambo...sie wengine ni vipi...unaweza kudadavua inakuwaje bank wanahati fungani za trilioni 1 kisha hapo hapo wanatakiwa wastaafu na wenye pesa kichele!?
 
"Baada ya CRDB kuzindua Kijani Bond yenye thamani ya Dola za Marekani 3000 sawa na zaidi ya bil.700 za Madafu,NMB nao wamekuja na kubwa kuliko inaitwa Jamii Bond ya Trilioni Moja."

Mahesabu yako yamekaaje ndugu!
Nimerekebisha boss
 
Hii imekaa kwa wajuzi WA hizo mambo...sie wengine ni vipi...unaweza kudadavua inakuwaje bank wanahati fungani za trilioni 1 kisha hapo hapo wanatakiwa wastaafu na wenye pesa kichele!?
Inamaana kwamba banks zikiweka kwenye masoko ya hisa hizi bonds manake wanatafuta pesa yaani kama pesa iddle somewhere wanakushawishi Kwa riba kwamba ukiwapa pesa Zako Kwa mda Fulani utapata riba,wao wanataka pesa zako Ili wakopeshe na wapate faida.

Mfano CRDB wao wanatoa riba ya 10.25% Kwa mwaka Kwa mtu anaeweka pesa kuanzia 100k na wao over the bond life time wamesema wanaseeza pata faidia ya bil.40-50 Kwa kukopesha hizo bil.700 plus mtakazo deposit.

View: https://twitter.com/CRDBBankPlc/status/1706287825677639791?t=kn93NPAAbAN3q9k6kXP9fA&s=19

Screenshot_20230925-163817_1.jpg
 
Naona banks zimeingia kwenye ushindani wa bonds Kufuatia kuimarika Kwa Biashara ya mikopo yaani watu na kampuni za biashara zinamiminika sana kukopa hivyo banks zinalazimika kutafuta pesa Kwa Ajili ya kukidhi soko la mikopo.

Baada ya CRDB kuzindua Kijani Bond yenye thamani ya Dola za Marekani 300 sawa na zaidi ya bil.700 za Madafu,NMB nao wamekuja na kubwa kuliko inaitwa Jamii Bond ya Trilioni Moja.

Haya kwenu wenye mapesa Yao kama Wastaafu na wengine mnaofikitia muwekeze nini na wapi ,katunzeni mapesa yenu huko kwenye banks.

Kwa hatua hizi ni wazi Uchumi unazidi kufunguka na Biashara zimerejea Kwa Kasi sana.

View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1706295494060720431?t=j1sLf071dnb9XAa0tl724Q&s=19

Acha ntandike mkeka mmoja matata wa bilioni Tano jackpot ya betway

Inshaalah
 
Acha ntandike mkeka mmoja matata wa bilioni Tano jackpot ya betway

Inshaalah
Ukipiga hela za kubet hizo ndio unaweza kuwekeza Sasa.

Mimi nataka nianze kuweka 30% ya Kila mapato yangu ya kila mwaka kwenye bonds Hadi ntakapokuja kuzeeka Sina uwezo kabisa kama Nikijaaliww uzee ndio nianze kiyala hayo mapesa.
 
Inamaana kwamba banks zikiweka kwenye masoko ya hisa hizi bonds manake wanatafuta pesa yaani kama pesa iddle somewhere wanakushawishi Kwa riba kwamba ukiwapa pesa Zako Kwa mda Fulani utapata riba,wao wanataka pesa zako Ili wakopeshe na wapate faida.

Mfano CRDB wao wanatoa riba ya 10.25% Kwa mwaka Kwa mtu anaeweka pesa kuanzia Laki 5 na wao over the bond life time wamesema wanaseeza pata faidia ya bil.40-50 Kwa kukopesha hizo bil.700 plus mtakazo deposit.
Hiyo 10.25% ni tax free? Tozo free?
Yaani mtu atakayeweka 10milioni, baada ya mwaka atakunja faida ya 1.2milioni moja kwa moja mfukoni bila mizengwe ya utitiri wa makato ya tozo na kodi?
 
Hiyo 10.25% ni tax free? Tozo free?
Yaani mtu atakayeweka 10milioni, baada ya mwaka atakunja faida ya 1.2milioni moja kwa moja mfukoni bila mizengwe ya utitiri wa makato ya tozo na kodi?
Hakunaga tozo Wala tax labda tozo na tax utakutana nazo wakati wa ku withdraw pesa.
 
Hizi bonds ukiziangalia kwa jicho la karibu utaona ni kupoteza hela, especially kwa wale ambao wanaangalia kuA ukiweka milioni unapata laki in a year.
But this is a long term thing.
Kwa mfano ukianza kumuekea mwanao, lets say 50,000 per month. Alaf ile interest ukawa unairudisha kama investment. In 20 years mwanao anapomaliza chuo, haitaji kuanza kutembea na bahasha tena.
Unaitoa yote unamfungulia biashara kubwa then he or she is set for life. Muhimu umtengenezee msingi mzuri wa biashara
 
Hizi bonds ukiziangalia kwa jicho la karibu utaona ni kupoteza hela, especially kwa wale ambao wanaangalia kuA ukiweka milioni unapata laki in a year.
But this is a long term thing.
Kwa mfano ukianza kumuekea mwanao, lets say 50,000 per month. Alaf ile interest ukawa unairudisha kama investment. In 20 years mwanao anapomaliza chuo, haitaji kuanza kutembea na bahasha tena.
Unaitoa yote unamfungulia biashara kubwa then he or she is set for life. Muhimu umtengenezee msingi mzuri wa biashara
Hata Kwa mtu mzima kuandaa fainali Uzeeni ni kitu nzuri sana.

Watanzania tujifunze kuwekeza Kwa Ajili ya uzee,ni pensheni nzuri sana hiyo.
 
Ukipiga hela za kubet hizo ndio unaweza kuwekeza Sasa.

Mimi nataka nianze kuweka 30% ya Kila mapato yangu ya kila mwaka kwenye bonds Hadi ntakapokuja kuzeeka Sina uwezo kabisa kama Nikijaaliww uzee ndio nianze kiyala hayo mapesa.
Ni bora kabisa kufanya hivyo kuliko kila leo kudunduliza pesa za kubadilisha magari, iphone nk.
Hakunaga tozo Wala tax labda tozo na tax utakutana nazo wakati wa ku withdraw pesa.
Hizo withdraw tax na tozo ndio naziuliza hapa. Watu tunataka kujua straight from the scratch kabla ya kuweka senti zetu huko, sio baada ya kuweka pesa na kusubiri, wakati wa kulipwa faida kisu cha makato kinapita hapo hapo na kumega faida.
 
Mbona walisema bond za serikali ni 15% faida.
Inategemea masharti Sasa na pia bonds za serikali Zina ushindani kiasi wameweka pesa ya kuanzia yaani minimum kubwa kiasi hivyo kivutia corporate zaidi kuliko individuals.

Lakini pia zenyewe zinakuwa na mda mrefu kuanzia miaka 2 nadhani lakini hizi za biashara unaona ndani ya mwaka na unalipwa.faida mara 2 na pia unaweza kuhamishia imiliki.kwa kuuza uka recover pesa Yako fasta.
 
Clear indication of cash scarcity among the top financial services provider in the country.

Nadhan Magufuliphobia kila mtu anaepiga anazipost mahal anapojua yeye..... sasa hii ni trap kusaidia ku recover chochote....

Ila hii ni nzur sana kwa pensioners Ambao ni easy glider.

Unaweka ka bilion kako unakula mdogo mdogo hiyo interest.

Home and dry

Tusubir tuone...
 
Back
Top Bottom