BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,420
Ndugu zangu nimetoka kubadili pesa muda huu (Kuna biashara naenda kuifanya sehemu kwa kutumia Us dollar) ila nilichokutana nacho kinauma, shilingi yetu inazidi kuporomoka vibaya mno dhidi ya dollar ya kimarekani.
Imagine dola 1 inamezaa Tsh 2415. Hii ni hatari nimeenda na Tsh 183,000,000/= nimekuja na US Dollar 75,776.39 tu.
Mwambieni mama tumekwisha.
Sisi wengine tukiongea tunaonekana wapinzani
Imagine dola 1 inamezaa Tsh 2415. Hii ni hatari nimeenda na Tsh 183,000,000/= nimekuja na US Dollar 75,776.39 tu.
Mwambieni mama tumekwisha.
Sisi wengine tukiongea tunaonekana wapinzani