Kushinda uchaguzi 2024 ANC watumie mbinu za CCM 2020

ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
 
ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Wale weusi wanaishi kwenye zile slums/locations wataichagua ANC
 
ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Ukijitutumua kutokea Mpitimbi.
 
ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Apartheid ya rangi ni zilipendwa. Haitarejea tena. Wazungu waliosoma na wenye mitaji wameshajitambua kuwa fursa kubwa iko kwenye soko huria na utandawazi kimataifa. Wameshakamata biashara na kumiliki rasilimali kibao barani Afrika na kwingineko duniani. Hawana mpango na vikwazo tena.

Weusi sasa chini ya ANC ndio wataendelea kupambana na apartheid ya kiuchumi kama sisi. Wengi wao wataendelea kuwa jobless na landless wakiishi ndani ya slums huku akina Ramaphosa, Zuma na kina prince Duduzane wakiwa katika makasri ya kutisha ndani na nje ya nchi wakikatiza dunia na private jets tu. Nyakati za uchaguzi wataendelea kupigwa propaganda za nguvu za uzalendo na “amandla awetu” mithili ya za CCM za huku mahala.
 
Jamaa zetu Sauz Wana uchaguzi Mkuu mwakani (2024) maadam Ni Chama rafiki basi watumie mbinu za Chama Chetu kushinda;

1. Mchujo kupitia wajumbe,
2. Kupitia bila kupingwa,
3. Kuzima internet (wakati wa kutangaza mshindi)
Kinacho wafanya CCM washinde sana ni mfumo mbovu wa uchaguzi, Chama dola,rushwa iliyotamalaki, katika chaguzi zetu na uelewa mdogo wa watanganyika.
Watanzania hawajui kwanini ni maskini,Wanadhani umasikini ni rehema ya Mungu.!

Hawajui kabisa kwamba kikundi fulani ndani ya CCM kimesababisha umasikini wao huku kikundi hicho kikiendelea kutajirika kupitia jasho la watanzania.

Siku jamii ya kitanzania ikijitambua CCM wanaweza wakapigwa chini bila kutarajia pamoja na mfumo mbovu wa uchaguzi.
 
ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Hakuna chama kilicho irudisha SA nyuma kama ANC, wakati wa utawala wa kibaguzi SA ilikuwa ni moja ya mataifa yaliyokuwa na uchumi mzuri sana duniani lkn leo SA ni kama sisi tu. Bure kabisa.
 
Jamaa zetu Sauz Wana uchaguzi Mkuu mwakani (2024) maadam Ni Chama rafiki basi watumie mbinu za Chama Chetu kushinda;

1. Mchujo kupitia wajumbe,
2. Kupitia bila kupingwa,
3. Kuzima internet (wakati wa kutangaza mshindi)
CCM ndio Chama Makini
 
ANC watakwenda below 50%,coalitions government ndio future ya SA,sisi tuendelee kuwa mazuzu na uchaguzi wa SA kuna zero %ya kuibiwa wakati Tanzania ni 100%,uchaguzi wetu sio wa haki,labda kwa awamu hii
 
ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Chama cha sera ya ubaguzi wa rangi kilishakufa kiitikadi miaka ya 90. Chama kinachofuatia kwa ushawishi South Africa hivi sasa ni DA, ambacho ni chama mseto.

Chimbuko la DA ni chama kikuu cha upinzani cha Progressive Party ambacho kilikuwa kikipinga sera za ubaguzi wa rangi za chama kilichokuwa kikitawala miaka ya apartheid (National Party).

Kukiita chama cha DA kwamba ni "chama cha ubaguzi wa rangi" ni upotoshaji tu; propaganda nyepesi za kina ANC na EFF ili kujaribu kushawishi wapiga kura weusi wa kizazi cha miaka ya 2000 wasiofahamu mambo kwa kina.
 
Back
Top Bottom