Mkubwa mwenzangu, hoja tunajadili hapa hapa....
PM huwa tunaulizana hali za watoto.
siku atakayeniuliza nimevaa chupi gani (cc. The Boss) atakuwa amenikosea saanaaa
Mkubwa mwenzangu, hoja tunajadili hapa hapa....
PM huwa tunaulizana hali za watoto.
siku atakayeniuliza nimevaa chupi gani (cc. The Boss) atakuwa amenikosea saanaaa
niliposema kunikosea sana ilijumuisha na adabu pamoja na mambo mengine.....
yaani kweli na mapoint yangu na kujieleza kwangu huku halafu mtu aniulize nimevaa chupi gani kwa pm? huko kutakuwa ni kwenda mbali sana....
Huwa natabasamu tu ninaposoma PM na mtu anajisalimisha na "No hard feelings", najivunia kuheshimiwa kwa design hiyo, hata PM.....
Utu uzima raha sana mtu mzima mwenzangu, au wewe unaonaje?