binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,157
- 34,585
😂😂😂😂 fair!😅😅😅😅ukiongea sana pia utasemwa. Kabla hajaenda watuambie wanataka mada gani tusome kabisa. Kama ni kuhusu Mwabukusi au lah
😂😂😂😂 fair!😅😅😅😅ukiongea sana pia utasemwa. Kabla hajaenda watuambie wanataka mada gani tusome kabisa. Kama ni kuhusu Mwabukusi au lah
Ndiyo maana kwenye mahusiano mnatakiwa muwe zaidi ya wapenzi....muwe marafiki na muwe mnataniana. Lkn kama mnaongea utadhani mtu na bosi wake au mtu na mwanaye, ndiyo hayo yanajitokeza.Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
Mwarobaini wa tatizo ni huu.Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Kaka umeongea Sana point chukua 1000 ya soda.Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Evelyn Salt haujamuuliza huyu yuko wapi? 😂😂😂Wanaume wa Tanzania punguzeni kushindana na wanawake, wanawake ni viumbe dhaifu, sisi kama wanaume inatakiwa tuwaongoze, tuwaonyeshe njia , sisi ni wanaume hatutakiwi kufocus kufuatilia wanawake kila siku, mwanaume lazima focus yako iwe kwa vitu mhimu, kutafuta pesa, kuwa na maisha bora, lazima upige hatua kutoka A kwenda B.
Hizi issues za ohh wanawake wako vile mara vile hazikuletei ugali mezani, uko na options kibao, kama haendani navwewe msaidie aendane, mahusiano maana yake sio kucheka na kutangaza mapungufu ya mwenzio ila kuya rekebisha tena kwa upendo huku ukifurahia maidhaifu yake, usifikiri mahusiano ni lelemama, na kwa taarifa yako hautapata mkamilifu dunia hii, labda ukaoe mbinguni.
Evelyn Salt na huyu haujamuuliza yuko wapi? 😂Wewe ndio umuulize vitu ambavyo vinakuvutia.
Lengo la outing ni kumtambua, kumwelewa na mjuane vizuri
Hawezi kujua wewe unawaza nini akilini ili aguse mada zinazokuvutia
Sasa wewe kama mwanaume unahitaji ustadi wa kucheza na maswali matamu ya vitu vinavyokuvutia ili ajieleze
Ila usiwe na maswali kama polisi
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Umeachiwa huruWanaume tukianza kuwaambia anko kameza shoka na gesi imeisha mnalalamika, tukinyamaza mnalalamika.!!
Haya mseme nyie mnataka tujadili kitu gani??
Wewe😄Magari yanakimbia kweli hudanganyi, ilibidi nirudi kwenye njia ya mwendo kasi ndo nikabonga kwa kujidai
Tukiongea mnasema micharukoDaah huwa inakera sana mtu aitikiage tu
"eeeh kumbe, sawa, ahaaa, enheeee " huo ni ujinga
Ulichozumgumza ni sahihi kabisa,na hii inaonyesha mwanaume ni kiongozi kwa kila kitu hata katika maongeziWewe ndio umuulize vitu ambavyo vinakuvutia.
Lengo la outing ni kumtambua, kumwelewa na mjuane vizuri
Hawezi kujua wewe unawaza nini akilini ili aguse mada zinazokuvutia
Sasa wewe kama mwanaume unahitaji ustadi wa kucheza na maswali matamu ya vitu vinavyokuvutia ili ajieleze
Ila usiwe na maswali kama polisi
Aseme asemeee nimpandie hewani😹Evelyn Salt na huyu haujamuuliza yuko wapi? 😂
Aaaah atuambie jamani, hadi naogopa kumuuliza 🤣🤣🤣Evelyn Salt haujamuuliza huyu yuko wapi? 😂😂😂
MaunoWanaume tukianza kuwaambia anko kameza shoka na gesi imeisha mnalalamika, tukinyamaza mnalalamika.!!
Haya mseme nyie mnataka tujadili kitu gani??
NAKAZIAUlichozumgumza ni sahihi kabisa,na hii inaonyesha mwanaume ni kiongozi kwa kila kitu hata katika maongezi
Lakini nadhan vile vile mtoa mada ana hoja ya kusikilizwa,naamini kabisa kuna wanawake wengine wanaboa sana,sijui ni kutaka kuonekana sio waongeaji au ndio kukuacha wewe uwe mzungumzaji hata sielewi
uko na mtu out unajaribu kumuuliza maswali ya hapa na pale kutaka kufahamiana,unajaribu kuongea hili au lile lkn unamuona mtu kama hana mchango sana
Niliwahi kukutana na madam wa hivi,kwakwel hadi inaboa yan,na hata sikupendelea kutoka nae out
Ila kuna mwingine mpaka unainjoy kuwa nae,yan maongezi matamu mpaka basi,binafsi nikikutana na mwanamke ana busara,hekima na muelewa wa mambo yaan daah yan huyo moyo wangu namfungashia aondoke nao
Eti nyie mnaongea kwa simu sijui dakika 40 au 30 au zaidi ya hapo,huwa mnaongea nini?
😹😹😹 wifi niaje?Umeachiwa huru