Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,227
Ndio hadithi zao hizo. Uongo wa serikali ya Magufuli hadi unatia kinyaa.Uwajibikaji sekta ya utumishi wa umma umeongezeka, siyo?
Watumishi wa chini wanafanya kazi katika mazingira magumu maana wenye nafasi hawawajibiki