FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Nawe unaweza kutowa wako ulio mzima.ushauri mbovu
Hasira za nini?
Nawe unaweza kutowa wako ulio mzima.ushauri mbovu
Mkuu umepiga kwenye mshono hapo.1. Acha ngono, kumbe ulihama nyumbani ili ufanye ngono
2.Mtaji umepungua kwasababu ya ngono, (mtaji hauwezi kuongezeka kwakujihusisha na ngono
3.Badala ya kukuza mtaji ulikuwa unanunua vitu vya ndani ili kuwavutia malaya
4.Rudi nyumbani na acha umalaya ili ukuze mtaji
Nilihama ili nibadilishe maisha yangu ikiwa ni pamoja na kuoa.Mkuu umepiga kwenye mshono hapo.
Kumbe unautimamu wa akili jieleze vizuri nikushauri km mtaalamu wa kuelimisha elimu ya ujasiriamaliSio Kweli, ila una ukaribia ukweli Mkuu.
Nilihama ili nibadilishe maisha yangu ikiwa ni pamoja na kuoa.
Nilipambana kununua vitu, lakini biashara yangu sikuitupa hata maramoja, kama ungekuwa unanijua basi ungesema kuwa nimepiga hatua sana kwenye biashara.
Vitu nilivyonavyo ghetto ni asilimia 20 ya asset nilizowekeza kwenye biashara (SIJISIFII, ILA NIMEWEKEZA KAKA)
Unataka ushauri ama unajieleza ulivyo, Are you sharing life experiences? or you need entrepreneurship skills developmentNashinda ofisin zaidi ya masaa 12 kilasiku na ninaendesha biashara peke yangu, ninachoka kwenda na kurudi Ghetto kilasiku .
Sijaoa na wala sina mtu ambae ninaishi nae. Ghetto nikifika hakuna ninachofanya zaidi ya kulalaa na kusubiria siku nyengine kwenda kazini (SLAVERY).
NB: BIASHARA IPO KWENYE FREMU YA NYUMBANI KWETU.
Piga mahesabu ya gharama za ziada unazo zipata kulinganisha na ungeli kaa nyumbani piga pia gharama za kupanga, umeme,maji, taka,ulinzi na zingine kutokana na mazingira unayo ishi bila kusahau unazowapa malaya kuanzia vochaMkuu.
Naomba usome bandiko langu tena.
Nimesema naomba ushauri, nirudi home au niendelee kuishi ghetto.
Sidhani kama kuna mtu angenielewa kama nisingejielezea zaidi ninachoki-face.
Laiti kama ningekuwa nafanya kazi masaa 4 sidhani kama ningefikiria kurudi kukaa nyumbani kaka.
Nina wowowo gani mimi? Usidanganye watu Restless Hustler
Unalo sema hujiamini mommy😍Nina wowowo gani mimi? Usidanganye watu Restless Hustler
Upo sahihi sanaTafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.
Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.
Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
Pia mke anachangamsha akili sanaTafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.
Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.
Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
Leo ndio angalau umeandika madini ila dini bado imetajwa..😂😂Tafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.
Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.
Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
Mimi AlhamduliLlah nnadini yangu, Uislam, unaniongoza kila kitu kwenye maisha yangu.Leo ndio angalau umeandika madini ila dini bado imetajwa..😂😂
Mara ukute dini yako ni genge la magaidi tu haipo kwa MunguMimi AlhamduliLlah nnadini yangu, Uislam, unaniongoza kila kitu kwenye maisha yangu.
Wewe kama pagani kazi kwako.