Kurudi Nyumbani kwaajili ya biashara

Kurudi Nyumbani kwaajili ya biashara

Habari zenu wakuu.

Mimi ni kijana ninaefanya biashara kwenye Fremu iliyopo kwenye nyumba ya wazazi wangu, Miaka kama mitano nyuma nilihama nyumbani na kwenda kupanga chumba mbali na nyumbani Kwa wazazi, lakini shughuli zangu kipindi chote hicho bado zipo hapo nyumbani kwetu.

Nimekuwa napata tabu sana kufika kwenye biashara zangu. Gharama pia za kodi na usafiri zimekuwa changamoto, Kwasababu nilipopanga ni mbali na home kwetu (NB: Ninaweza kulipa Kodi lakini bado mtaji wa biashara hujakua kama nilivyotamani)

Sijaoa na sina Mke, nina kilakitu cha ndani eg. TV, Kabati, Kitanda, Sofa, vyombo vya ndani n.k

Suala la kuoa bado halipo kichwani mwangu Kwasababu nilijaribu kuishi na mtu lakini mwisho wa siku nilitendwa.

Ninampango wa kutafuta hela halafu ndio nioe, lengo ni kupata watoto na sio kumpenda mwanamke (NISHAWAHI KUUMIZWA NA NIMESHUHUDIA WATU WENGI WAKIUMIZWA)

Nilikuwa naomba ushauri.
NIRUDI NYUMBANI ILI NIPAMBANE KUIKUZA BIASHARA YANGU, AU NIENDELEE KUPANGA.?.

Nilipopanga nimekuwa naishi peke yangu na mwisho wa siku nimekuwa naita wanawake wa ku-do nao (Malayaa). NACHUKIA KUPAGEUZA NILIPOPANGA UWANJA WA NGONO LAKINI NASHINDWA.

Nimepanga nirudi nyumbani, kwasababu naamini ndio kuna riziki yangu BIASHARA na pia nitakuwa najiheshimu zaidi kuliko nilipopanga (Kuoa sina Mpango kwa hivi sasa)

Umri wang nina 26.


Nilikuwa naomba ushauri.
NIRUDI NYUMBANI ILI NIPAMBANE KUIKUZA BIASHARA YANGU, AU NIENDELEE KUPANGA.?.
Tafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.

Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.

Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
 
Tafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.

Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.

Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
sio kweli,

kwahiyo vijana wasitafute pesa, wang'ang'ane umaskini ili wapate ndoa bora?

wenye hela wasioe?
 
Mkuu kwann umepanga mbali ,,jaribu kupanga karibu na hom au km hom Kuna nafac Rudi ,ujipange na biashara ujiweke fresh ukipataa faida tafuta kiwanjaa nunua Jenga mpk ufikee miaka 30 utakuwa mbali ukiachana na MALAYA....
 
Habari zenu wakuu.

Mimi ni kijana ninaefanya biashara kwenye Fremu iliyopo kwenye nyumba ya wazazi wangu, Miaka kama mitano nyuma nilihama nyumbani na kwenda kupanga chumba mbali na nyumbani Kwa wazazi, lakini shughuli zangu kipindi chote hicho bado zipo hapo nyumbani kwetu.

Nimekuwa napata tabu sana kufika kwenye biashara zangu. Gharama pia za kodi na usafiri zimekuwa changamoto, Kwasababu nilipopanga ni mbali na home kwetu (NB: Ninaweza kulipa Kodi lakini bado mtaji wa biashara hujakua kama nilivyotamani)

Sijaoa na sina Mke, nina kilakitu cha ndani eg. TV, Kabati, Kitanda, Sofa, vyombo vya ndani n.k

Suala la kuoa bado halipo kichwani mwangu Kwasababu nilijaribu kuishi na mtu lakini mwisho wa siku nilitendwa.

Ninampango wa kutafuta hela halafu ndio nioe, lengo ni kupata watoto na sio kumpenda mwanamke (NISHAWAHI KUUMIZWA NA NIMESHUHUDIA WATU WENGI WAKIUMIZWA)

Nilikuwa naomba ushauri.
NIRUDI NYUMBANI ILI NIPAMBANE KUIKUZA BIASHARA YANGU, AU NIENDELEE KUPANGA.?.

Nilipopanga nimekuwa naishi peke yangu na mwisho wa siku nimekuwa naita wanawake wa ku-do nao (Malayaa). NACHUKIA KUPAGEUZA NILIPOPANGA UWANJA WA NGONO LAKINI NASHINDWA.

Nimepanga nirudi nyumbani, kwasababu naamini ndio kuna riziki yangu BIASHARA na pia nitakuwa najiheshimu zaidi kuliko nilipopanga (Kuoa sina Mpango kwa hivi sasa)

Umri wang nina 26.


Nilikuwa naomba ushauri.
NIRUDI NYUMBANI ILI NIPAMBANE KUIKUZA BIASHARA YANGU, AU NIENDELEE KUPANGA.?.
1. Acha ngono, kumbe ulihama nyumbani ili ufanye ngono
2.Mtaji umepungua kwasababu ya ngono, (mtaji hauwezi kuongezeka kwakujihusisha na ngono
3.Badala ya kukuza mtaji ulikuwa unanunua vitu vya ndani ili kuwavutia malaya
4.Rudi nyumbani na acha umalaya ili ukuze mtaji
 
Tafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.

Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.

Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.

Ili akishapata pesa atafute mwanamke mwingine? Wanaume wengi wasio na pesa wanaoa wanawake wasio wapenda ni vile wanaweza kuwapata ila wakiwa na hela wanatafuta wanawake wa ndoto zao.
 
Rudi nyumbani dgo. Hela unazopotza kwenye kodi+bill+kula mara 3 kwa siku ungezisave ungekuwa na uchumi mara mbili ya hivo ulivyo saiz. Lkn pia nidham yako ni ndogo bado unaitaji kusimamiwa so rudi nyupamban kajipange upya
 
Tafuta mke wa kuoana wakati hauna pesa, usifanye makosa ya kuoaa wakati una pesa.

Sisi Waislam tumefundishwa tuoane wakati tuna dhiki. Ni falsafa kubwa sana.

Ndoa za wakati wa dhiki zinadumu sana kuliko za kuoana wakati wa mafanikio.
ushauri mbovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom