Ni kumkosea Adabu na heshima Dr Slaa kumlinganisha na Zitto, ningewaelewa kidogo kama Zitto angeshindanishwa na mtu wa level yake kama Mnyika. Dr Slaa ni habari nyingine kabisa.
Ni kweli mkuu lakini itasaidia kukata kilimilimi cha wafuasi wa Magamba hapa jamvini.Na ndiyo maana vibaraka nguli wa Magamba hapa JF wanachungulia tu hii thread na kukimbia.