Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Hii thread haina lengo zuri, ina lengo la kupasua chama fulani cha siasa kwa maslahi fulani ya kisiasa, GOD forbid
 
Kwa ukweli kabisa Dr Slaa ni zaidi ni mtu mwenye Vision na ni mzalendo wa kweli katika nchi yetu. Ni mpambanaji wa kweli wa vita ya Mafisadi na ni kichwa sana.Huwezi kabisa kumfananisha na Zitto Zuberi Kabwe. Tunamfahamu zito alikuwa UDSM si kweli kwamba ni kichwa sana.Ana Akili za kawaida tu.Ila anajiamini sana na akisimamia jambo hata kama ni bovu atalisimamia tu.
 
namshauri ZITTO MDOGO WANGU AENDE AKATAFUTE KAZI HAJAWAHI KUPRACTISE KNOWLEDGE ALIYOPATA UDSM KAMA MTUMISHI WA SHIRIKA AU OFISI YOYOTE NI WAKATI WAKE AFANYE HIVYO ILI 2025 AWE AMEIVA KWA KUGOMBEA URAIS AKIWA MATURED AND FULLY KNOWLEDGEABLE. SARAKASI ZA BUNGENI INATOSHA AMESHAFIKIA CLIMAX SASA ATAANZA KUDROP DRASTICALLY

Kuna harufu ya kauhalisia kwenye maoni yako.
 
Hii thread haina lengo zuri, ina lengo la kupasua chama fulani cha siasa kwa maslahi fulani ya kisiasa, GOD forbid

Hapana mkuu, sredi hii itasaidia kupunguza ushabiki wa kijinga wa wanaCcM wanaojifanya wanaCDM huku wakiwa na malengo tofauti na falsafa ya CDM.
 
Haraka yote hii ni ya nini? Bado tuna miaka miwili mbele yetu ili kufika wakati muafaka wa kuzungumzia wagombea uongozi katika nafasi mbalimbali. Hii kura ya maoni hapa haitusaidii chochote, sana sana itapalilia makundi ndani ya chama ambayo yanaweza kukivuruga chama na kuondosha mshikamano miongoni mwa wanachadema. Kama ninavyoshauri kila mara, wanachadema tuachane na hizi sarakasi za uraisi kwa sasa. Tujielekeze katika kujenga na kuimarisha chama ngazi za chini-misingi, matawi na kata kwakuwa huko bado hakuko stable. Rai yangu kwa wanachadema na wanaoiunga mkono chadema hapa JF naomba tuachane na mijadala isiyo na tija kwa maendeleo ya kisiasa na kidemokrasia. Tusipoteze muda kujadili mambo ya uraisi kwa sasa hakuna tija yoyote kwa mustakabali wa nchi yetu.[/QU
 
hakika umenena kaka!hz thread nyngne tuwe care nazo kwan znalenga kugawa chama.tuache porojo,tujenge chama.tambua kuwa jf inatumiwa na vibaraka wa ccm!
 
1 Zitto ajibu hoja za BARICK LTD. Walisha mnunua bado hajajibu
2. Zitto alikula posho mbili, Takukuru wakimtaka saa yo yote wanamdaka, ni kwa vile ni mtu wao.
3. Zitto ana mahusiano ya karibu na mkurugenzi msaidizi TISS aliyechakachua kura za Dr Slaa.
4. Zitto hakumpigia kampeni Dr Slaa, akamnadi kikwete kisiri kigoma na NCCR. Aeleze kwanza.
5. Zitto alipigia debe kununua mitambo ya Richmond aka downs.
6. zitto alikuwa na gari liliingia bongo kwa jina la Rostam, aeleze vizuri ilikuwaje? wakati yeye majuu ni mwenyeji?
7. zitto ni fisadi kama wengine abishaye alete data hapa.
 
'Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko' Mtoa mada Dr Slaa ni rais 2015:israel: acha kumpambanisha na huyo dogo kwani kwa nafasi ya uraisi kwake bado ni mdogo sana:spy:. Kama atasimama kumchalenge Dr basi atakuwa ametumika kukigawa chama.
 
W.P.SLAA 84.32% na ZZK 15.68% yamenyamazisha Watu wengi sana pro ccms hapa jf.
kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini?
 
Ujana wake nayo ni sifa? kwani ukiwa mzee huwezi kuwa rais?
sababu za kuto mchagua Zitto Kabwe
1. hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria
2. hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka
3. hana sifa ya kugombea urais coz hana Busara na hekima
4. hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm
Tuko kwenye mchakato wa mabadiliko ya katiba....so umri unaweza kubadilishwa tu, so hpja yako ingeenda kwenye utashi wake binafsi na uwezo wake.
 
Slaa ni kiongozi, na zito si kongozi. upeo wa slaa ni mkubwa sana kwa kila kitu compared to zito.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom