Chadema ndio walimsaliti Dr Slaa, 2010 walimtoa Bungeni ili agombee urais lakini 2015 wakamgeuka. Kwa huruma Magufuli akampa Ubalozi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,960
141,956
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
sawa
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Kwa hiyo unashauri CCM wamteue Dkt. Slaa agombee urais 2025 ili kiu yake ya urais wa 2015 ipoe kama si kumalizika!
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
..na itakavyokua 2025..
2025 itakuaje?
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Mwagito,kuna vitu vingine huwa unaandika kama umeshiba matangadasi au minyweho!Siendelei kwa heshima yako na dkt.Slaa.
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Tubadilishe katiba ili mgombea Urais atakayeshindwa awe na automatic seat bungeni.

Haiwezekani mtu amepata kura millioni 5 halafu arudi mtaani kwenda kupiga kelele, ni heri aende bungeni akawakilishe wananchi wake wale million 5. Na ndiyo apewe kiti cha kiongozi wa kambi ya upinzani.

Tutapata mwelekeo sahihi wa kisera kwa vyama vya upinzani badala ya porojo.
 
Wabunge wa kuteuliwa na rais wafutwe bungeni na tuondoe Sharti la waziri kuwa mbunge hii itapunguza wabunge chawa wanaogopa kuisimamia serikali ili wateuliwe kuwa mawaziri.
 
Wakuu wa mikoa wawe wa kuchaguliwa kwa kura ila mamlaka yabaki yale yale waliyonayo.
 
Haki ya mgombea binafsi ni haki kama haki zingine za binadamu tuondoe huu ulazima wa mgombea urais/ au ubunge kuwa lazima awe mwanachama wa chama cha siasa.

Tunaweza kutumia seat za madiwani, serikali za mitaa au ubunge kama pilot phase kufanya jaribio la utekelezaji wake.
 
Upepo ulikuwa unamuendea vibaya mgombea wa CCM dhidi ya wa Ukawa ikatafutwa njia ya kuokoa jahazi.
Lipumba akaanza kupelekwa Rwanda na babu Slaa Canada ambapo pamoja na kufanya kazi supermarket Mushumbusi hakumkumbia akijua "mumewe" anaandaliwa post kubwa, ilihali allipo acha ubalozi bibie akasepa
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Naunga mkono hoja
P
 
Hakuna wa kumshinda Rais Samia hata asipofanya kampeni
labda apore uchaguz na akifanya hivyo tutaomba tena afe kama tulivyoomba kwa nduli magufuli na atakufa akipora uchaguz amin usiamin, mwambien apore uchaguz salama yake ni kuacha kura ziamue mshindi halali.
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Nakubaliana na wewe.
Miongoni mwa vitu vilivyomuongezea credit Dr Slaa ni mamuzi hayo.huwezi pambana miaka nenda rudi na ccm,ukatoka kwenye ubunge halafu anakuja mtu tu kutoka alikotoka dakika za mwisho et agombee
 
Kwamba alitolewa Bungeni ili awe mgombea urais wa milele? Mbona Mbowe aligombea 2005 na hakurudi tena kugombea urais huyo Dr slaa yeye ni nani?
 
Kumbe ubalozi ni cheo cha huruma kwa mentality za CCM.

Basi kumbe ndio maana balozi zetu 95% zimejaa mafyongo.

Balozi anakuwepo nchi ya ugenini miaka 6 anarudi kama alivyokuja hakuna jipya alilofanya kwa faida ya nchi wachache sana wameweza kutafutia hata fursa watanzania wanaowakuta kule na waliobaki nyumbani.
 
Ikumbukwe kuwa haikuwa nia ya Dr Slaa kugombea uRais mwaka 2010 bali aliombwa na Mbowe ili kuongeza ushawishi wa kura za majimboni kwa minajiri ya kutengeneza ruzuku kubwa

Ikumbukwe hapa Rais anayetetea nafasi yake akamilishe muhula wa pili huwezi kumshinda kwa kura, hivyo ndivyo ilivyokuwa 2010 na itakavyokuwa 2025

Hivyo basi nafasi ya Dr Slaa kushinda uRais Ilikuwa ni 2015 lakini Chadema wakamfanyia mtumanyongo na kuleta Wagombea wapya kutoka CCM na CUF ambao baada ya Uchaguzi walirudi kwenye vyama vyao

Dunia nzima ingemshangaa Dr Slaa kupanda jukwaani kumpigia kampeni mzee Lowasa ambaye yeye mwenyewe aliwatangazia watanzania kuwa ni fisadi mamba moja

Jiulize Mbowe alitaka Dr Slaa agombee kitu gani tena 2015 ilhali yeye ni Presidential material?

Umewahi kumuona Prof Lipumba, mzee Cheyo, mzee Rungwe au hata maalum Seif akigombea ubunge?

Ni Mbowe na Mrema tu ndio wenye hiyo historia ya kurudi Bungeni baada ya kufeli uchaguzi wa Rais

Kwa sababu hiyo ndio Magufuli akamteua Dr Slaa kuwa balozi nafasi ya juu kuliko mbunge

Sabato njema!
Kwa hili nakubaliana na wewe,

Siyo Dr. Silaa peke yake. Ile move ya CDM ya kumwalika Lowasa hata mimi Binafsi pamoja na wapenda mabadiliko wenzangu tulikwazika nayo sana. Baadaye eti wakawaalika na akina Sumaye, Nyalandu n.k. Kero kubwa zaidi ni vile walikuwa wanajikomba kwao kwa kuwapatia vyeo ndani ya Chama..

Ulikuwa ni ujinga wa kiwango kikubwa kufanywa na Chadema.. Mpaka leo Chadema siwaamini kabisa..
 
Back
Top Bottom