Mzee wa ngano
Senior Member
- May 3, 2012
- 184
- 55
Jamani mimi nina mashaka na huyu dogo. Ukitazama picha zake nyingi utaona akiwa na watu wa CCM anakuwa yu mwenye furaha sana as if hao jamaa ni wenzake.
Nitamteua MH: DR.WILBROAD PETER SLAA,Mh zitto anaonekana ana uchu wa madaraka na mwalimu Nyerere alishaonya ya kwamba ukimuona mtu anakimbilia ikuru muogope kama ukoma, mimi nasema muogepe kama ukimwiTuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Wewe unaonekana una mtazamo finyu hoja kubwa yako ni udini, kwa taarifa yako Zitto hana sifa hata kidogo ya kshindana na kamanda DR. Slaa ni sawa na mtoto wa darasa la saba ashindane na mtu wa masters.Magamba ndiyo wadini kamati kuu ya magamba ina wajumbe 35 kati ya hao 22 ni waislam na waliobaki ndiyo wapagani na wakristo, au ndiyo nyani haoni kundule?subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
Hao wote ni wezi slaa mwizi na zitto nae mwizi kwa hy hawafai ktk serikali yetu
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Mkuu kweli huyu kijana hafai hata kuendelea hata kuwa mbunge yeye wenzake wanajenga chama kupitia M4C, Yeye yupo kwenye kutangaza nia ya kugombea urais, hata uchaguzi bado,Ila mwalim nyerere alishaonya ya kwamba ukimuona mtu anakimbilia kwenda ikuru kama Zito muogope kama UKOMA mimi nasema, muogope kama UKIMWI.Ujana wake nayo ni sifa? kwani ukiwa mzee huwezi kuwa rais?
sababu za kuto mchagua Zitto Kabwe
1. hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria
2. hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka
3. hana sifa ya kugombea urais coz hana Busara na hekima
4. hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm