Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Nadhani tuanze kujifunza sasa kuwa nafasi ya kugombea uraisi si ya mali ya mtu binafsi....halafu hao unaowasema hawajatangaza nia kiofisi........Je kama tukiamua 2015 ni zamu ya wanawake???........ Mdee...Migiro...Simba...Ghasia. ..Magige...Chana.....Kamata......nadhani ni mapema mno kwa hii poll.....labda kama unakusudio la siri....
 
Nenda mbele rudi nyuma zitto is my choice,ana kura yangu mimi na za ukoo wangu wote,tunasubili tamko lake,
 
Mmwanaume rijali kama kweli ni rijali, una hela na maisha mazuri umefikia umri wa kuitwa mtu mzima basi ni lazima uwe na mke, kama hujaoa hapo lazima tujiulize mara kumi kumi. Something is not right here. na kwa nini usoni mbona kama amejichubua awe mweupe????

Hapo kwenye umri na pesa Ndio napatilia mashaka hata Mimi Ndio maana namuona Jamaa Kama mcameroon flani.
 
Kura yangu naipeleka kwa zitto kabwe,sbabu zangu nne ni hizi:

1:Atasaidia sana chadema kuisafisha chadema iondokane na dhana kwamba ni chama cha wakristo

2:Ataisaidia chadema kujivua gamba la ukaskazini kupita kiasi

3:Ataisaidia chadema kuzipata kura za waislam ambao wengi wao chadema si maarufu sana kwao

4:Atarejesha mahusiano ya chadema na vyama vingine vya upinzani kama cuf na nccr kwa kuwa zitto ni chadema moderate,sio conservative kama huyo mzee na mwenyekiti wake hasa ukizingatia kwamba zitto hajawahi kuwa mwanachama wa TANU wala CCM
 
Mimi siwezi kutoa maoni.....kumuweka dr.slaa na zitto kishoka nadhani ni dharau sana......zitto hajafika hata robo ya dr.slaa kwa hiyo kura ya maoni ni dharau kwa kiongozi mwenye heshima km dr.slaa.....sijui labda zitto umshindanishe na shibuda ingefaa kwani hata kwa mnyika au lema haingii

tuacheni dharau kwa rais wetu

Heshima aliyonayo DR Slaa ni kwasababu tu alikuwa kiongozi wa kanisa na umri alionao kulinganisha na zitto, zitto amekuwa kwenye siasa muda mfupi sana kulinganisha dk Salaa lakini amekuwa na mafanikio makubwa sana kutokana na uwezo wake,amekuwa maarufu sana hayo yote ameyapata muda mfupi tu. Watanzania wengi hatukuwa tukimjua dk Slaa hadi pale alipogombea uris 2010, kwahiyo heshima aliyonayo dk Slaa ipo kidini zaidi kwa waamini wake sio kisiasa, heshima na umaarufu alionao ZZK unatokana na uwezo eake mkubwa ktk siasa, kwahiyo kisiasa zzk yuko juu zaidi kuliko dk Slaa
"Kwa kuwa ‘my conscious is clear', (dhamira yangu safi) sina mashaka, uzushi, uongo na siasa za majitaka hizi zitaumbuliwa na ukweli.by ZZK
 
Katika imani yako umekuwa spoiled,
unaamini kwa dhati kwamba,
maoni kinyume na imani yako,
ni batili na ni dalili ya upendeleo.
katika kura hii una nafasi ya,
kutumia nafasi yako kama member,
kumchagua umpendaye,
au kuto piga kura kwa kula jiwe,
una haki ya kutoa maoni yako binafsi,
huna haki ya kuingilia haki za watu wengine,
maelezo yako ni maoni yako binafsi,
yatoe lakini usiyafanye msahafu kwa wengine,
Padri, sheikh, mufti, askofu,kuhani,mzee wa busara?
uchaguzi ni wa mtu binafsi,

Hapa JF wote ruksa kujiunga,
nasikia tu kwamba,
80% ya population,
ya watu wa dini na imani moja kuu,
ni zaidi ya nusu ya Watanzania wote,
pia kundi hili la waumini,
ni watu wa kheri amani na unyenyekevu.
Naamini pia kwamba kundi hili la waumini,
ni 75% ya wanachama wa JF,
Sasa ikitokea kundi hili kumpenda zaidi Dr Slaa,
kwa sababu ya uwingi wao na tafakari yao,
wewe ni nani hata upinge na kubeza chaguo lao?
pia kuwa na mawazo ya kudhani ni upendeleo?
Waswahili husema Wengi wape.

wengi wape ' ni kauli dhaifu sana , kama una hoja ya msingi hata kama uko peke yako kwenye jamii simama na uitetee !! ndo wanaoitwa mashujaa hao!! ninavyojua jf ni jukwaa huru usitie dini humu!!
 
Wote wanafaa lakini zito apewe kwanza muda apevuke kisiasa. bado hajabarehe kisiasa.
 
ZzK bado Anawaza As za ud. Bado ana kidmind. Na hili la mshiko wa tanesco.
 
Watanzania msipoweka udini pembeni nadhani mtafika pabaya kwa hali hiyo yakumpenda mtu kwasababu ya dini fulani.mtu unaulizwa ZITTO VS SLAA nani bora , badala kutaja kuchangia mada ya ubora unachangia mada ya udini, huu ni upuzi mtupu
:flypig:
 
Zitto amelewa madaraka na sifa,ni mnafiki na hayuko straight...pia ana uchu wa madaraka...mara nyingi sana amekuwa akienda kinyume na makubaliano ya viongozi wenzake wa chadema..kwa kifupi kanajisikia sana anadhani she is exceptional..hatuko tayari kuwa na kiongozi dhaifu wa namna ya zito....half msisahau kuwa Wema sepetu nie atakuwa first lady...
 
Heshima aliyonayo DR Slaa ni kwasababu tu alikuwa kiongozi wa kanisa na umri alionao kulinganisha na zitto, zitto amekuwa kwenye siasa muda mfupi sana kulinganisha dk Salaa lakini amekuwa na mafanikio makubwa sana kutokana na uwezo wake,amekuwa maarufu sana hayo yote ameyapata muda mfupi tu. Watanzania wengi hatukuwa tukimjua dk Slaa hadi pale alipogombea uris 2010, kwahiyo heshima aliyonayo dk Slaa ipo kidini zaidi kwa waamini wake sio kisiasa, heshima na umaarufu alionao ZZK unatokana na uwezo eake mkubwa ktk siasa, kwahiyo kisiasa zzk yuko juu zaidi kuliko dk Slaa
"Kwa kuwa ‘my conscious is clear', (dhamira yangu safi) sina mashaka, uzushi, uongo na siasa za majitaka hizi zitaumbuliwa na ukweli.by ZZK
Ni wewe na wengine wachache mno ambao mlikuwa bado mnajua Hayati Mwl Nyerere bado Rais wa TZ ndiyo hamkumjua Dr. Slaa.
Ina maana hata orodha ya mafisadi iliyotajwa pale CDM[SUP]2 [/SUP]haukuijua hadi mwa 2010?.
 
Tuwe tunakuwa waangalifu katika kulinganisha. Kwangu Mimi, Dr.W. Slaa ni Mount Everest, na Zitto ni termite mound (kichuguu cha mchwa).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom