Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
sasa uislamu wako unatusaidia nini sisi kama waTanzania? Hapa tunamjadili zito wala si dini yake... Lakini ulipogundua zito hakubaliki ni mnafiki kama wewe unaleta vioja na huruma za kidini,inashangaza sana ebu soma thread zote uone kama kuna sehemu umetajwa ukristo.. Hivi dini yako weak kiasi kwamba bila kusemwa semwa haitasikika? Mna matatizo sio bule.

kama ulijua siyo vizuri kutaja dini humu ndani kwanini uliingiza habari ya Zitto kuvaa barakashee na kanzu? unahuuu!!! kijana? mtumzima ovyooooooo.
 
jembe la ukweli ni dr slaa hata kama angetoka wapi mwingine no one you can com pit with him
 
kma vp hakuna malumbano tusubirini kamati kuu ya chama itakavyo amua kwani malumbano tu hayatasaidia, please guys wait until 2015
 
Jamani hii ni karne ya vijana, kung'ang'ania wazee ambao wameshachoshwa na kina kamili, mushumbushi watatufikisha wapi. au ndiyo kuendeleza sera zile alizosema mwigulu na shubuda kama hutoki kaskazini...........ngoza CHADEMA?
 
Dr slaa ni jembe kuliko zitto manake zitto anatumiwa na ccm ili kupunguza kasi ya chadema yetu, lingine ni kwa Dr slaa anatufaa zaidi manake ni mdhoefu katika nafasi inayokuja ya urais 2015 alaf kingine Dr slaa ni mwanaharakati wa kweli asiyeogopa wala kutetereka.
 
Labda awe Rais wa karatu hii nchi ina wenyewe mtaangaika kugombea hadi mfe kwanza na umri wake ule mpaka atafia jukwaani Urais wa nchi hii hata kaa akasikia harufu yake.Labda Raisi wa kukomba wa.. za watu

Jamani hebu punguza jazba ndo uchangie mada,
Mbona umepanic gafla??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
ningependa kupiga kura ila na mimi pia nina mpango wa kutangaza nia hapa si pangu ngoja nipite tu
 
Zitto ni mwepesi sana kwa Dr. Slaa...
Mleta hoja hakuzingatia uzito wa hawa watu wawili!
Mtafutieni mpinzani mwingine tafadhali ili twende sawa katika hili!
 
Ujana wake nayo ni sifa? kwani ukiwa mzee huwezi kuwa rais?
sababu za kuto mchagua Zitto Kabwe
1. hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria
2. hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka
3. hana sifa ya kugombea urais coz hana Busara na hekima
4. hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm

5. Hana familia ni muhuni flan
6. Ni fisadi wa haki na mzindaki
7. Elimu Yake ya kuunga unga
8. Anapenda starehe kuliko kazi
9. Ni mtu wa propaganda Kama nape na ni remote ya ruling party kudhoufisha upinzani na kuhadaa watz
10. Mali zake zinatia mashaka kwani usafiri wake hata Mkuu wa kaya Hana.
11. Sio mtu wa kumuamini amekaa kidini zaidi, Mimi ni Islam lakini simpendi ni mbaguzi sana
12. Yuko kimaslahi na sio kitaifa Kama anavotuaminisha
13. Ninashaka na urijali wake anaweza kutuletea ucameroon kwa ujumla hafai, ongezea hapo chini yako mengi tuu nawasilisha.
 
Napendekeza iwe Kabwe v/c Nasari uzito wao unaendana maana Kabwe v/c slaa ni sawa na restling big show v/c cm punk. Mtoa mada ungezingatia uzito atlast
 
5. Hana familia ni muhuni flan
6. Ni fisadi wa haki na mzindaki
7. Elimu Yake ya kuunga unga
8. Anapenda starehe kuliko kazi
9. Ni mtu wa propaganda Kama nape na ni remote ya ruling party kudhoufisha upinzani na kuhadaa watz
10. Mali zake zinatia mashaka kwani usafiri wake hata Mkuu wa kaya Hana.
11. Sio mtu wa kumuamini amekaa kidini zaidi, Mimi ni Islam lakini simpendi ni mbaguzi sana
12. Yuko kimaslahi na sio kitaifa Kama anavotuaminisha
13. Ninashaka na urijali wake anaweza kutuletea ucameroon kwa ujumla hafai, ongezea hapo chini yako mengi tuu nawasilisha.
Mmwanaume rijali kama kweli ni rijali, una hela na maisha mazuri umefikia umri wa kuitwa mtu mzima basi ni lazima uwe na mke, kama hujaoa hapo lazima tujiulize mara kumi kumi. Something is not right here. na kwa nini usoni mbona kama amejichubua awe mweupe????
 
sababu ni


  1. Elimu
  2. uwezo
  3. Mguu wako namba saba kwa nini uvae namba 11?
  4. Umri.
 
Kama we ni Mkigoma bora mi nihamie Congo,wakigoma huwa tuna akili zetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom