Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
zitto ndie rais anauwezo wa kuunganisha vijana na si mkabila wala mkanda kama slaa na pia zitto si limbukeni wa mapenzi
 
Zitto asubiri kidogo, anastahili awe waziri kwanza ili akomae na tumsome vizuri
 
zitto ndie rais anauwezo wa kuunganisha vijana na si mkabila wala mkanda kama slaa na pia zitto si limbukeni wa mapenzi

Niliwahi kukueleza hapa JF kwa nini Babu yako alipigwa Ban na Mwalimu. Sasa kwako wewe Rais Kazi yake kuunganisha Vijana tu?Vijana wenyewe akili matope kama Mwigulu,Lusinde hata wewe mwenyewe kufikiri mwisho kuunganisha vijana tu?Hata Dr. Dr. Dhaifu mlisema Kijana atawasaidi Vijana sasa yako wapi?Tunataka Rais atakaye Wasaidia Watanzania na sio Rais wa Vijana Tu.Tatizo kubwa ninaliliona kwa sasa Vijana Wa Kitanzania Wamekuwa WABINAFSI sana kila kitu wanajiona na kujifikiria wao tu.Tazama Migomo ya Vyuo Vikuu kisa Bumu.Wakati Madaktari wanagoma,Waalimu badala ya wao Vijana Wehu kama wewe Tuntemeke na Zitto wako Kuwaunganisha Vijana waone namna ya kuisaida Jamii kwanza Wamelala fofofo.Vijana wa Kitanzania kwao Bumu kwanza Mengine ikiwepo kusoma Baadae.Shame on You & Co. Vijana wenye mawazo ya kibinafsi kama wewe.
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

Mimi napendekeza hii poll ifungwe sasa maana naona kama vile haina uzito tena kwasababu Zitto mwenyewe kasema kuwa hakutaja ni mwaka gani anatarajia kugombea urais. Hii ina maana kuwa sio mwaka 2015.
 
zitto ndie rais anauwezo wa kuunganisha vijana na si mkabila wala mkanda kama slaa na pia zitto si limbukeni wa mapenzi

Ni vizuri sasa wanachadema wamekugundua wewe ni mtu wa aina gani......
 
Mimi siwezi kutoa maoni.....kumuweka dr.slaa na zitto kishoka nadhani ni dharau sana......zitto hajafika hata robo ya dr.slaa kwa hiyo kura ya maoni ni dharau kwa kiongozi mwenye heshima km dr.slaa.....sijui labda zitto umshindanishe na shibuda ingefaa kwani hata kwa mnyika au lema haingii tuacheni dharau kwa rais wetu
DR.slaa ni mtu kama wengine na zito ni shujaa wa vijana TANZANIA.
 
Saburi ni muhimu sana katika siasa. Zitto ni kijana safi lakini asome alama za nyakati.
 
keep zitto for future use in case of presidential race, mzee slaa yupo ktk kiwango (peak) na ni wakati wake.
nawasilisha.
 
Niliwahi kukueleza hapa JF kwa nini Babu yako alipigwa Ban na Mwalimu. Sasa kwako wewe Rais Kazi yake kuunganisha Vijana tu?Vijana wenyewe akili matope kama Mwigulu,Lusinde hata wewe mwenyewe kufikiri mwisho kuunganisha vijana tu?Hata Dr. Dr. Dhaifu mlisema Kijana atawasaidi Vijana sasa yako wapi?Tunataka Rais atakaye Wasaidia Watanzania na sio Rais wa Vijana Tu.Tatizo kubwa ninaliliona kwa sasa Vijana Wa Kitanzania Wamekuwa WABINAFSI sana kila kitu wanajiona na kujifikiria wao tu.Tazama Migomo ya Vyuo Vikuu kisa Bumu.Wakati Madaktari wanagoma,Waalimu badala ya wao Vijana Wehu kama wewe Tuntemeke na Zitto wako Kuwaunganisha Vijana waone namna ya kuisaida Jamii kwanza Wamelala fofofo.Vijana wa Kitanzania kwao Bumu kwanza Mengine ikiwepo kusoma Baadae.Shame on You & Co. Vijana wenye mawazo ya kibinafsi kama wewe.

SIYO VIJANA WOTE. Ni huyo mwehu Tuntemeke na rais wake wa Wasanii. VIJANA WENGI WENYE AKILI TIMAMU TUNATAKA RAIS WA NCHI NA SIYO RAIS WA WASANII, NDO MAANA TUMEHAMASISHANA NA KUMFANYA Dr APATE >80% YA KURA ZOTE
 
Acha kumfananisha MESSI(Dr Slaa) na Mrisho Ngassa(Zito Kabwe).

Hapana mkuu, ni sawa na kumfananisha nyangumi (DR. Slaa) na kiroboto (Kibaraka zitto) tena aliyekonda kwa kufyonza damu ya mtu mwenye kifaduro.
 
zitto ndie rais anauwezo wa kuunganisha vijana na si mkabila wala mkanda kama slaa na pia zitto si limbukeni wa mapenzi

Kwa taarifa tu hebu angalia harakati za ukombozi zinazoendelea mkoani Morogoro zilivyofana...vijana oyeee!

attachment.php

 
Umelemewa sana, pole sana.

Mimi napendekeza hii poll ifungwe sasa maana naona kama vile haina uzito tena kwasababu Zitto mwenyewe kasema kuwa hakutaja ni mwaka gani anatarajia kugombea urais. Hii ina maana kuwa sio mwaka 2015.
 
zitto ndie rais anauwezo wa kuunganisha vijana na si mkabila wala mkanda kama slaa na pia zitto si limbukeni wa mapenzi

Mmmmmmmmmmmmmmmm?

Asubiri 2015 tumpe kura.Tuntemeke and Co.tunasubiri hayo matangazo kwa hamu kubwa.
 
Zito anatamaa sana,hata Nyerere aliwaasa Watanzania tumuogope kama ukoma mtu anayekimbilia ikulu,kwani ikulu kuna biashara gani? Zito HAFAI KUWA RAIS. Dr. Slaa ndiye Rais wetu.
 
hivi hummer na vogue kanunuaje?
hilo gari unaweza pasua kaa mchezo mto Malagarasi mpaka Bangwe, Kazuramimba, kote hadi Madongo-kwinama
mm sielewi mbona wengine wana Chopper tena za Binafsi lakini huyu Muha tayari mmeanza kumuogopa,
kwanza umri wake unamruhusu kuliko wa Dr
Pili afya ya mwili na akilini safi kuliko ya ....
Tatu vijana ndio wengi kuanzia leo wenye 15 yrs kuliko mashabiki wa ............. amabapo 2015 anaweza naye akakubalika
 

Attachments

  • Hummer 1.JPG
    Hummer 1.JPG
    41.6 KB · Views: 79
  • Hummer 2.JPG
    Hummer 2.JPG
    42.3 KB · Views: 74
tuna hitaji rais atakae badili hii nchi na watu wake lakini Zitto mmh!! hekima hakuna hapo
 
Ni vizuri sasa wanachadema wamekugundua wewe ni mtu wa aina gani......

namshauri ZITTO MDOGO WANGU AENDE AKATAFUTE KAZI HAJAWAHI KUPRACTISE KNOWLEDGE ALIYOPATA UDSM KAMA MTUMISHI WA SHIRIKA AU OFISI YOYOTE NI WAKATI WAKE AFANYE HIVYO ILI 2025 AWE AMEIVA KWA KUGOMBEA URAIS AKIWA MATURED AND FULLY KNOWLEDGEABLE. SARAKASI ZA BUNGENI INATOSHA AMESHAFIKIA CLIMAX SASA ATAANZA KUDROP DRASTICALLY
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom