Hapo ktk red are you sure wat you talking? Dr Slaa na Zitto nani mwenye jazba nyingi? rejea mwaka 2010 wakati Zitto alivyokiuka maamuzi halali ya chama chake kususia hotoba ya raisi JK bungeni, yeye akuingia bungeni tena kana kwamba haitoshi kesho yake akafanya press conference hakaweka wazi kupingana kupingana na maamuzi ya chama chake.
Hata Mnyika ni mkali zaidi ya Zitto, Zitto ni mbinafsi sana na hayupo na wenzake kabisa as teamwork, namkubali mnyika kuliko Zitto, dr SLaa Tunamwamini na Tunamhitaji kuwa raisi wa tanganyika
I support Zitto:
1. Zitto ni Chadema kweli, tangu akiwa 16 na hajawahi kuwa gamba, Slaa alikuwa gamba hadi alipotoswa kwenye uteuzi ndo akakimbilia Chadema
2. Nina wasi wasi Dk Slaa kwa umri wake anaweza kukutwa na yale ya rais wa Ghana
3. Dk Slaa ni muongo saana jamani. Tatizo la Chadema hatupendi kukosolewa. Kafulila alifukuzwa kwa sababu ya msimamo wake na kumkosoa Mbowe
4. Zitto ana maono. Ishu ya mitambo ya Dowans alishauri inunuliwe, watu, pamoja na Chadema, wakamponda sana wakasema amenunuliwa, cjui nn na nn, yaani upuuzi mwingi tu. Taifa likawa gizani wakati mitambo ipo, baadaye wabunge na wa Chadema wakiwemo wakabadilisha sheri na MITAMBO ILE ILE YA DOWANS ikanunuliwa, watanzania tukarudi mwangani. Chadema tusiogope vivuli vyetu. Najua Slaa tunampenda lakini hii haimfanyi Zitto awe mbaya
Dr. atakuwa kiongozi mzuri ifikapo 2015, Isipokuwa apunguze jaziba:-
(1) Awahurumie wale wote walio wahi kukaa madarakani, hata wake walio mteka na kumtesa dr.
(2) Asiwapeleke the Hague, wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walihusika katika machafuko ya zenj, miaka ile
(3) Asitaifishe majengo ya nyinyiemu, hasa makao makuu pamoja na viwanja vya mpira vya nyinyiemu kirumba, nk
(4) Asiwahukumu wale wote waliouza migodi na viwanda pamoja na majumba yote ya serikali
(5) ............................ nanyi endelezeni.
Magamba watakuwa wanafurahia sana hii mada Zitto is real a thorn in CDM flesh it must be removed somewhere somehow
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
Hii nidharau kubwa.Huwezi kupambanisha Barcelona FC na Lipuli ya Iringa.
Dr. Slaa.
Ana msimamo thabithi, mjenga hoja, kiongozi bora na asiyependa ufisadi.