Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
wewe mwenye laana za kuua ukapimwe nini?Kapimwe akili.
wewe mwenye laana za kuua ukapimwe nini?Kapimwe akili.
Mkuu ingia viwanja vya sabasaba kuna sehemu nnembona siyaoni
wewe hulioni hiloFisadi amemuibia nani?
Zitto si saizi y Dr. Slaa kabisa, saizi yake ni akina Mnyika, Mdee na wenzake. Aache mdomo hana ubavu wa Urais bali anatumiwa na CCM. Na kuna siku tutamuanika peupee ili aache upopo wake ndani ya Chadema.
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Wadau nitafanyaje niwaone waliopiga kura? nataka niwajue pro-vatican
hivi ilinunuliwa na nani?, je unajua kwanini watanzania hawakutaka kuinunua bali kuitaifisha....wakabadilisha sheri na MITAMBO ILE ILE YA DOWANS ikanunuliwa, watanzania tukarudi mwangani.
hivi hummer na vogue kanunuaje?
Nilikua namkubali sana zitto ila alipocheza rafu(kununuliwa) na kununua hayo magari ya kifahari sina imani naye tena hila still bado ni jembe kibunge bunge ila kimaslahi ya taifa mhhhhhhh!
Mimi kwangu Zitto anafaa kwa sababu slaa ni mzinzi kwa maana kwamba alitembea na kuzaa na mwanamke akiwa bado mtumishi wa bwana kosa kubwa sana hilo na kama haitoshi aliendelea kutembea na mke wa mtu ambae hata talaka alikuwa bado hajapewa.Huyu mtu sio makini hata kidogo ni mchumia tumbo tu mtu makini hata kondom havai jiulizeni wenyewe.
aaah msomali umeshajiandikisha uraia wewe!?
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.