Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,122
Japo sijaelewa vyema ulichotaka kumaanisha ila ngoja nikuulizeMkuu, nashawishika kukuuliza ulikulia Tanzania?! Na kama jibu ni ndiyo mikoa gani? Kwa sababu kwa baadhi ya mambo ni vigumu sana kumuaminisha mtu jambo ambalo tangu mazingira na nyakati za Tuko havieleweki wala kufikirika kwake.
Umewahi kuchunga ng'ombe? And umewahi kushiriki kutafuta ng'ombe walioibwa?!
