Kupotea bila kujijua

Kupotea bila kujijua

Hujajibu swali.

Usitake kupiga chenga swali.

Inakuwaje huna uhusiano wowote na sayansi wakati unatumia internet ambayo ni teknolojia inayotumia sayansi?
Nimekwambia mimi Sina uhusiano na sayansi ila nina mahusiano na maarifa ya wanadamu tu yalioileta intaneti ninayotumia
Hapo hujaelewa nini sasa

Nikakwambia pia sayansi ulioizungumza wewe ina mambo ya kukinzana sana nikakupa na mfano wake
Sasa narudi kwako tena SAYANSI ni nini?!

Nimekujibu hivyo usikwepe swali tena
Jibu ili tuendelee na mjadala wetu
 
Ugumu wa maisha naona watu wanauhamishia kwenye majani!..
Sawa bana hizi hesabu tunazopiga huku tunatembea naona zimerahisishiwa poteza boya!..
 
Ugumu wa maisha naona watu wanauhamishia kwenye majani!..
Sawa bana hizi hesabu tunazopiga huku tunatembea naona zimerahisishiwa poteza boya!..
Hahaaa hapana bana hizi mambo Kama umetokea mabonde kwinama huwezi kuzihusisha na maisha ya leo unayoyaishi mana inatokea tu bila kujijua hasa ukiwa katika mazingira ya watu wema(vijijini)

Ila sema vitabu vinataka ama vimefanikiwa kutuondolea baadhi ya vitu muhimu ambavyo kama tukivifanyia uchunguzi tunaeza kupata sababu nyingi sana

Ni kama ule mmea ambao ukikaushwa vizuri ukasagwa vizuri basi ukiuchoma tu ule moshi ukikupata unalala usingizi wa koma.

So kuna vitu vipo vya ajabu sana sema ustarabu wa maandiko umezidi ustarabu wa asili
 
Hahaaa hapana bana hizi mambo Kama umetokea mabonde kwinama huwezi kuzihusisha na maisha ya leo unayoyaishi mana inatokea tu bila kujijua hasa ukiwa katika mazingira ya watu wema(vijijini)

Ila sema vitabu vinataka ama vimefanikiwa kutuondolea baadhi ya vitu muhimu ambavyo kama tukivifanyia uchunguzi tunaeza kupata sababu nyingi sana

Ni kama ule mmea ambao ukikaushwa vizuri ukasagwa vizuri basi ukiuchoma tu ule moshi ukikupata unalala usingizi wa koma.

So kuna vitu vipo vya ajabu sana sema ustarabu wa maandiko umezidi ustarabu wa asili
Kwahyo ukiukanyaga na viatu haupotei!?. Sababu huo mmea mwingine ni mpaka uuchome moshi wake uwe kama umevuta bange.
 
Kwahyo ukiukanyaga na viatu haupotei!?. Sababu huo mmea mwingine ni mpaka uuchome moshi wake uwe kama umevuta bange.
Tafuta thread moja hivi ya Mshana nadhani nae aliwahi kuelezea huo mmea ambao baadhi huupanda kama ua majumbani....

Sina hakika sana Kama ukiukanyaga na viatu utapotea mana huko nakwetu wengi ni magulu kuyega viatu ni hadi siku ya sikukuu tena zile ndala za mkapa na anaejitahidi kuvaa kiatu ni bondo au wenyewe tunaita saa sita utanikoma.Yani kile kiatu jua likiwaka kinapata joto hatar so unaamua ukivue tu (wakazi wa kanda ya ziwa wanaojua hicho)so kuhusu kuvaa viatu nisiwe muongo kwa kweli
 
Tafuta thread moja hivi ya Mshana nadhani nae aliwahi kuelezea huo mmea ambao baadhi huupanda kama ua majumbani....

Sina hakika sana Kama ukiukanyaga na viatu utapotea mana huko nakwetu wengi ni magulu kuyega viatu ni hadi siku ya sikukuu tena zile ndala za mkapa na anaejitahidi kuvaa kiatu ni bondo au wenyewe tunaita saa sita utanikoma.Yani kile kiatu jua likiwaka kinapata joto hatar so unaamua ukivue tu (wakazi wa kanda ya ziwa wanaojua hicho)so kuhusu kuvaa viatu nisiwe muongo kwa kweli
mwenyewe kanda ya ziwa nyumbani mkuu!.. Me naamini hizo ni imani tu
 
hahahahah kuna uyoga flani ukikanyaga lazima upotee njia.
 
Ugumu wa maisha naona watu wanauhamishia kwenye majani!..
Sawa bana hizi hesabu tunazopiga huku tunatembea naona zimerahisishiwa poteza boya!..
hapana mkuu ugumu wa maisha upo tu
lakini sijaskia watu wamekufa njaa
haya mambo yapo ila You will never know until it hit You
 
mwenyewe kanda ya ziwa nyumbani mkuu!.. Me naamini hizo ni imani tu
Nimekupa mfano wa kanda ya ziwa ili uelewe kiatu nilichokizungumzia

Lakini kuhusu imani inategemeana na jamii uliotoka.
Kama jamii ya watu waliowahi kustarabika basi utaona ni aina flan ya ngano katika imani ya kitu flani

Ila ukiwa ni miongoni mwa watu waliotoka jamii zilizochelewa kuujua ustarabu huwezi kusema ni imani yenye mlengo flani

Ila yote kwa yote asilimia kubwa ya jamii nyingi imeanza kusahau mambo haya mana hata wamama waliokatika siku zao ama waliozaa mapacha wanaruhusiwa kufanya ama kufika katika maeneo kadhaa ambayo wakati sisi tunakuwa ilikuwa ni marufuku kuyafikia maeneo hayo

So elimu imekuja kutuondolea baadhi ya mambo tuliyoyaishi
 
kutwa Mr Newton alisema
Ndiyo hapo sasa..yani mtu unampa ushuhuda wa jambo yeye haamini ila anaona bora akawaamini hao jamaa zao.

Sasa hapa toka mwanzo hivyo visa vimewatokea watu vijijini tena mazingira yenyewe yanafanana,ila wataalamu wanaona ni ukichaa tu.
Sasa najiuliza huo ukichaa mbona hauwapati na watu wa mjini huku??

Hahaha..ila ndio hivyo hauwezi kumbishia mtaalamu.
 
Ndiyo hapo sasa..yani mtu unampa ushuhuda wa jambo yeye haamini ila anaona bora akawaamini hao jamaa zao.

Sasa hapa toka mwanzo hivyo visa vimewatokea watu vijijini tena mazingira yenyewe yanafanana,ila wataalamu wanaona ni ukichaa tu.
Sasa najiuliza huo ukichaa mbona hauwapati na watu wa mjini huku??

Hahaha..ila ndio hivyo hauwezi kumbishia mtaalamu.
Hahaaa umenena mkuu sema watu wanajikuta wajuvi sana kiasi kwamba wanasahau asili yetu ni ufugaji na uwindaji
Na wengi wanaobisha hapa ni wanaume wa dar(joking)mana hizi mambo wanaona ni hadithi tu
 
mwenyewe kanda ya ziwa nyumbani mkuu!.. Me naamini hizo ni imani tu
Mkuu jambo kuwa imani sio tatizo na ndiyo maana hadi leo waganga bado wapo,unafikiri matatizo mengine yanayowapata watu huenda kuyatibu wapi kama sio huko kwenye ushirikiana na ndio kwa waganga?

Imani ni jambo tata sana.
 
Hizi ni zile hadithi za utotoni eti wamasai wakiaba ng'ombe wanageuza viatu vyao ili kuwa hadaa wanao fuatili muelekea wa nyayo zao. Sijui makanyagio ya hao ng'ombe walio ibiwa wali ya geuza je?
Mkuu, nashawishika kukuuliza ulikulia Tanzania?! Na kama jibu ni ndiyo mikoa gani? Kwa sababu kwa baadhi ya mambo ni vigumu sana kumuaminisha mtu jambo ambalo tangu mazingira na nyakati za tukio havieleweki wala kufikirika kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom