Kupotea bila kujijua

Kupotea bila kujijua

Uchawi upo, haiwezekani kuna majani nimeyagusa halafu yana sinyaa yenyewe
 
Ali copy idea gani, wapi, lini, vipi, kwa ushahidi gani, wewe umejuaje hilo, umehakiki vipi?

Umesoma kitabu gani cha maisha ya Dirac ku conclude kwamba ni bwege?

Unajua kwamba equations za Dirac zinatumika kufundishia mpaka leo, huyo bwege gani anatumika kufundisha mpaka leo?

Wewe equations zako zinafundishia wapi?
Bro nimesoma lectures on quantum mechanics na spinors in hilbert space, narudia, ni bwege tu
 
Ali copy idea gani, wapi, lini, vipi, kwa ushahidi gani, wewe umejuaje hilo, umehakiki vipi?

Umesoma kitabu gani cha maisha ya Dirac ku conclude kwamba ni bwege?

Unajua kwamba equations za Dirac zinatumika kufundishia mpaka leo, huyo bwege gani anatumika kufundisha mpaka leo?

Wewe equations zako zinafundishia wapi?
Kwaio mpaka equations zangu niziestablish ?? Kwani kwenye science hakuna copycats? Go back to school!
 
Kwaio mpaka equations zangu niziestablish ?? Kwani kwenye science hakuna copycats? Go back to school!
Unajipinga mwenyewe.

Unasema Dirac bwege kwa sababu ka copy.

Halafu unasema kwenye science kuna copycats, ni kitu cha kawaida.

Hata wewe mwenyewe hujui umesimamia wapi.

Kujibizana nawe ni vigumu.
 
Watu waliokulia mjini Daslam bwana mambo Kama haya tukiwaambia wanaona Kama adventure au chai kumbe
Yapo Huko vijiji Huko!
 
Iliwahi nitokea hii, tulikwenda kijijini kuwasalimu ndugu, tukiwa tunarudi ni uelekeo wa magharibi, lakini mi nikawa naona Kama twelekea mashariki, baada ya Kama km 5 hivi ndio akili ya uelekeo ikakaa sawa... Kwa bahati nzuri nilikuwa na Kaka zangu, laiti ningekuwa peke yangu sijui ningefika wapi.
 
Iliwahi nitokea hii, tulikwenda kijijini kuwasalimu ndugu, tukiwa tunarudi ni uelekeo wa magharibi, lakini mi nikawa naona Kama twelekea mashariki, baada ya Kama km 5 hivi ndio akili ya uelekeo ikakaa sawa... Kwa bahati nzuri nilikuwa na Kaka zangu, laiti ningekuwa peke yangu sijui ningefika wapi.
Kwahiyo na kaka ako wote mkawa mnazunguka tu hamtambui mnakoenda
 
Habari wapenzi.
Nmekua katika mazingira ya kusikia baadhi ya ngano kuwa kuna majani ukiyakanyaga unapotea ,yani unaelekea mahala usipo pajua unazunguka sana ..kiasi unaweza kupatikana au usipatikane kwa muda .
Mama angu ananisimuliaga wao walipoteaga na bibi yake kipindi anakua kwa siku mbili msituni.
Je wakuu haya mambo ni kweli?
Hayo majani yanaitwa ndumu, mmea, au mjani. Yanazingua kichizi ukiya misuse
 
Iliwahi nitokea hii, tulikwenda kijijini kuwasalimu ndugu, tukiwa tunarudi ni uelekeo wa magharibi, lakini mi nikawa naona Kama twelekea mashariki, baada ya Kama km 5 hivi ndio akili ya uelekeo ikakaa sawa... Kwa bahati nzuri nilikuwa na Kaka zangu, laiti ningekuwa peke yangu sijui ningefika wapi.
Ungefika Bangladesh
 
Katika kazi zangu huwa naenda sana mapolini muda mwingine unabeba GPS unaingia msituni kutafuta point ilipo, nimekuwa nikikutana sana na hizi stori huko vijijini unaweza kuchukua mtu akupeleke ila mnazunguka ukiuliza anasema pale kati kuna majani mabaya tunaweza kukesha polini
Canción del mariachi
Song by Antonio Banderas and Los Lobos


Soy un hombre muy honrado
Que me gusta lo mejor
Las mujeres no me faltan
Ni el dinero, ni el amor
Jineteando en mi caballo
Por la sierra yo me voy
Las estrellas y la luna
Ellas me dicen donde voy
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Me gusta tocar guitarra
Me gusta cantar el son
Mariachi me acompaña
Cuando canto mi canción
Me gusta tomar mis copas
Aguardiente es lo mejor
También el tequila blanco
Con su sal le da sabor
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Me gusta tocar guitarra
Me gusta cantar el son
El mariachi me acompaña
Cuando canto mi canción
Me gusta tomar mis copas
Aguardiente es lo mejor
También el tequila blanco
Con su sal le da sabor
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón

1628951767238.jpeg
 
Canción del mariachi
Song by Antonio Banderas and Los Lobos


Soy un hombre muy honrado
Que me gusta lo mejor
Las mujeres no me faltan
Ni el dinero, ni el amor
Jineteando en mi caballo
Por la sierra yo me voy
Las estrellas y la luna
Ellas me dicen donde voy
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Me gusta tocar guitarra
Me gusta cantar el son
Mariachi me acompaña
Cuando canto mi canción
Me gusta tomar mis copas
Aguardiente es lo mejor
También el tequila blanco
Con su sal le da sabor
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Me gusta tocar guitarra
Me gusta cantar el son
El mariachi me acompaña
Cuando canto mi canción
Me gusta tomar mis copas
Aguardiente es lo mejor
También el tequila blanco
Con su sal le da sabor
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón
Ay, ay, ay, ay
Ay, ay mi amor
Ay, mi morena
De mi corazón

View attachment 1892191
Unaitwa usenge usiokera
 
Katika nchi ambayo access na afya ya akili ni ndogo, hata mtu akipotea kwa kuwa ana dementia au ugonjwa mwingine wa akili tutasema kakanyaga majani fulani.
Wewe acha Basi.....sasa umeongea ma nini?dementia ndo nini na uzungu wako
 
mkuu unashangaa kukanyaga majani tu..
Nilisikia humu mwanamke ambae yupo bleed akichuma mboga lazima zikauke..
Sijaelewa hadi leo kwanini,. Hii nayo ya kukanyaga majani halafu upotee ndo nazidi kuchanganyikiwa
Hio ya mwanamke akiwa hedhini ni kweli mkuu
 
Nilipotea siku 3 porini wakati nipo darasa la tano, kisa ka mbwa tu...home wakaweka tanga siku ya 3 na mm nikaingia usiku wake *****, sitosahau, zaidi ya saa 72 nimekwama eneo ambalo naona nimezingukwa na mto mm nipo kati kati na mbwa wangu wa3, mto umetengeneza duara alafu mto una ngema za maana, siku nakuja pata akili ya kutoka pale ni siku ya tatu alfajiri, hapo nishakula sana majani na matunda pori silijui hata moja, mbwa wamekonda, wamekuwa wapole, mm tumbo limeingia ndani, dah hii siwezi sahau kabisa, ule ulikuwa ni ulimwengu mwingine kabisa. Ilikuwa ni kama maono tu, sababu nilishaanza kukata tamaa lakini kuna sauti ndani yangu ilikuwa ikiniambia siwezi kufa ki rahisi namna ile tena ikiniambia nikishindwa kuweza kutoka pale nitapotea jumla, aisee, nilitoka pale siku hiyo ya tatu, alfajiri kama saa 10 hivi ndio napata wazo kwamba nijaribu kubadili nguo zangu na viatu ( nje ndani ) na viatu pia unavigeuza cha kudhoto unavaa kulia. ( Nakumbuka ile siku nilivaa viatu vile vitokanavyo na matairi ya magari, ( nikaanza safari bila ya kuuona tena ule mto, hakuna mto wala nini, mpaka inafika saa 7 ndio nikaanza kuona moshi kwa mbaaali nikaanza ufuata kuufikia ilikuwa saa 9, nikakuta mashamba ya miwa, sasa akili ikaanza kurudi kwamba nipo wapi, hapo nilipokuwa na nilikuwa nikiwasikia kaka zangu huwa wanaenda kuwinda karibu na mashamba ya miwa, basi nikatembea pembezoni nikiwa nayafuata mpaka nikafika kwenye barabara za kwenye lile shamba, nikaifuata mpaka nikakutana na barabara ambayo sasa naifahamu, kutoka nilipotokea mpaka kufika kijiji chetu kulikuwa na kilometer 7, nikaanza safar ya kuelekea home huku nguvu zikizidi niisha, mbwa ile barabara haikuwa ngeni kwao wakaniacha pale wao wakatangulia nyumbani, sasa wale waliokuwa kwenye matanga pale nyumbani walipowaona wale mbwa watatu wamerudi, na nilionfoka nao siku 3 zilizopita ikabidi watumwe watu wafuatilie ile njia ambayo mbwa wametokea, ndipo waliponikuta mbele mbele huko sasa kutembea tena siwezi yaani nalisikia tumbo kama limegusa uti wa mgongo, nimekaa tu, natafuna majani pembeni ya barabara ili nipate japo nguvu ya kudogea, nikachukuliwa pale kwenye baiskeli, kufika home, vilio vikaanza upyaaa, wazee wa kijiji wote wapo home, kabla ya kuingizwaa ndani kuna tamaduni zilifanyika pale...sitosahau


Kila nikikumbuka kilichonitoa nyumbani roho huwa inaniuma sana,


Ka mbwa tu, kalikatiza alafu kamekonda kishenzi sasa mm nilikuwa nawalisha chakula mbwa wa home, walipokaona kale ka mbwa wakanizidi nguvu wakaanza kukafukuzia, ndio ikabidi na mimi niwaungie maana wale mbwa hawakutakiwa kuwa wamefunguliwa muda ule, ilikuwa ni kesi kwangu kumbe ndio nakimbilia majanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom