Mkuu washkaji walishafarikiTulienda kwenye mapori Fulani mwaka 1998 kule morogoro kugawana mashamba tulime Mimi nilikuwa na baiskeli sasa sikutaka kutembea nayo porini itanichosha tukaipaki mahali amin usiamini baada ya zoezi LA kugawa mipaka kuisha tukaanza kuenda kuichukua ile bike hatukuiona na unajua porini vichaka vinafanana tuliitafuta ile bike bila mafanikio kesho yake tukarudi wapi nika declare imeibiwa
Ajabu
Baada ya miaka mitano kupita mwaka 2002 nikaenda pale kwenye lile shamba maana hatukulima seriKali ilitukataza kwamba ni hifadhi cha ajabu nilipofika pale nikaikuta ile baiskeli vile vile nilivyoiacha mwaka 1997 na nyuma nilikuwa nimefunga dumu LA maji nikayakuta vile vile haikuguswa kabisa ila ailikuwa na kutu kwasababu ya mvua kwakweli niliogopa sana sana sana nusura nizimie na mbaya zaidi nilikuwa peke yangu sikuichukua nikaenda kuwaita wale jamaa niliokuwa nao bahati mbaya wawili walikuwa wamefariki hili tukio nikikumbuka mpk leo naogopa mwili unasisimka
pole sana Kuwa musoma haimaanishi basi kila kitu kitokacho musoma unakijua!!Mzee baba tusilishane matango bana... Musoma kwetu pia
Ushasema pori lina vichaka vinafanana.Tulienda kwenye mapori Fulani mwaka 1998 kule morogoro kugawana mashamba tulime Mimi nilikuwa na baiskeli sasa sikutaka kutembea nayo porini itanichosha tukaipaki mahali amin usiamini baada ya zoezi LA kugawa mipaka kuisha tukaanza kuenda kuichukua ile bike hatukuiona na unajua porini vichaka vinafanana tuliitafuta ile bike bila mafanikio kesho yake tukarudi wapi nika declare imeibiwa
Ajabu
Baada ya miaka mitano kupita mwaka 2002 nikaenda pale kwenye lile shamba maana hatukulima seriKali ilitukataza kwamba ni hifadhi cha ajabu nilipofika pale nikaikuta ile baiskeli vile vile nilivyoiacha mwaka 1997 na nyuma nilikuwa nimefunga dumu LA maji nikayakuta vile vile haikuguswa kabisa ila ailikuwa na kutu kwasababu ya mvua kwakweli niliogopa sana sana sana nusura nizimie na mbaya zaidi nilikuwa peke yangu sikuichukua nikaenda kuwaita wale jamaa niliokuwa nao bahati mbaya wawili walikuwa wamefariki hili tukio nikikumbuka mpk leo naogopa mwili unasisimka
Hope haupo Bongo na siku ukitua hapa kwetu(kama niko sahihi)nitafute pm tuzurure kidogo maeneo kadhaa ya vijijini huko,ama twende tu kama watalii Mwitongo Butiama kisha tupate ruhusa ya kuzama humo na tusipotafutwa basi njoo thibitisha hakuna vitu kama hizo!Thibitisha habari zako, zaidi ya hapo huwezi kuepuka kuambiwa unaleta ngano tu.
aisee " mlivamia ',Mji wawatu Maui" shukuru ' haukupotea wewSio fiction ni tukio LA kweli kabisa na Yale maji tuliyakuta vile vile kwenye dumu ndio kilichonithibitishia ni baiskeli yangu niliyoipoteza mwaka 1997
hahaaa eti " nijirecord clip "Hope haupo Bongo na siku ukitua hapa kwetu(kama niko sahihi)nitafute pm tuzurure kidogo maeneo kadhaa ya vijijini huko,ama twende tu kama watalii Mwitongo Butiama kisha tupate ruhusa ya kuzama humo na tusipotafutwa basi njoo thibitisha hakuna vitu kama hizo!
Kwanza ni tukio linalokukuta wakati usiotarajia na haijalishi ni mzee ama mtoto na jambo hili si jamii flani tu wanalifahamu,ni jamii nyingi sana
Hivyo uthibitisho gani unataka!! Nijirekodi clip wakati napotea au ulimaanisha uthibitisho gani utakao kufikia wewe uamini?!
Kuna mambo mengi hayaeleweki lakini hilo halina maana ni mastaajabu yanayokiuka sheria za kisayansi.Hope haupo Bongo na siku ukitua hapa kwetu(kama niko sahihi)nitafute pm tuzurure kidogo maeneo kadhaa ya vijijini huko,ama twende tu kama watalii Mwitongo Butiama kisha tupate ruhusa ya kuzama humo na tusipotafutwa basi njoo thibitisha hakuna vitu kama hizo!
Kwanza ni tukio linalokukuta wakati usiotarajia na haijalishi ni mzee ama mtoto na jambo hili si jamii flani tu wanalifahamu,ni jamii nyingi sana
Hivyo uthibitisho gani unataka!! Nijirekodi clip wakati napotea au ulimaanisha uthibitisho gani utakao kufikia wewe uamini?!
naaam moro acha kabisaaaa "Mkuu washkaji walishafarikipole sana
Ila naskia moro kuna maajabu sana
Hizo ni "Tales" tu ...Kuwa musoma haimaanishi basi kila kitu kitokacho musoma unakijua!!
Musoma ipi unayozungumzia na Mimi musoma ipi niliyozungumzia?!
Hilo jambo ukimweleza hata Mkono(mbunge)atakweleza mana amewahi kuishi na kuchunga katika maeneo niliyoyataja
Kuwa wa musoma haimaanishi basi kila kitu wakijua ndugu
Wewe kama wa Musoma walau unajua lilipo gereza la Cuba?!
Unayajua maajabu ya mlima Kyahaza?
Unajua walau utaratibu wa kufika lilipo handaki la Mwalimu Nyerere?!
Ukinijibu yote hayo nitaamini nimewalisha matango pori
mkuu nikija kyabakari ntakutafutaHope haupo Bongo na siku ukitua hapa kwetu(kama niko sahihi)nitafute pm tuzurure kidogo maeneo kadhaa ya vijijini huko,ama twende tu kama watalii Mwitongo Butiama kisha tupate ruhusa ya kuzama humo na tusipotafutwa basi njoo thibitisha hakuna vitu kama hizo!
Kwanza ni tukio linalokukuta wakati usiotarajia na haijalishi ni mzee ama mtoto na jambo hili si jamii flani tu wanalifahamu,ni jamii nyingi sana
Hivyo uthibitisho gani unataka!! Nijirekodi clip wakati napotea au ulimaanisha uthibitisho gani utakao kufikia wewe uamini?!
Sina hakika kama usithibitisho wowote utauamini kwa sababu tayari umenitajia neno SAYANSI na mlengo wako upo hukoKuna mambo mengi hayaeleweki lakini hilo halina maana ni mastaajabu yanayokiuka sheria za kisayansi.
Uthibitisho unaotakiwa ni wowote ulio na uthabiti wa kimantiki na usioweza kuwa na tonw la kuweza kujipinga wenyewe, hata kidhana tu, si lazima uweke video.
Sawa utanipa taarifa wiki moja kabla hujaanza safari mana nami sasa makazi yangu yapo mikoa ya wenginemkuu nikija kyabakari ntakutafuta
Yah mana kama hayajakukuta utaishia kuomba uthibitisho na tukio linatokea hata wazo huna na ukieleza watu wa aina yake akikustahi sana atakwambia punguza pombehahaaa eti " nijirecord clip "
Huna jipya ndugu ni vyema ukalala tu mana hata Musoma yenyewe huijui inaonekana maneno tuHizo ni "Tales" tu ...
Jambo la sayansi huna uhusiano nalo wakati unatumia internet?Sina hakika kama usithibitisho wowote utauamini kwa sababu tayari umenitajia neno SAYANSI na mlengo wako upo huko
Sayansi jambo ambalo sina uhusiano nalo na sinaga muda wa kufikiria sayansi ya mwanadamu mwenye nyama kama mimi
Hivyo basi nachelea kukwambia kwamba uthibitisho pekee ni wewe kuishi katika ukweli huo namaanisha walau kufika na kuwa miongoni mwa wahanga wa tukio hilo
Tofauti na hapo huwezi kunielewa na utaishia kutaja neno ngano tu kwa kuhusisha mawazo ya kina Shaban Robert
Kwani SAYANSI ni nini?!Jambo la sayansi huna uhusiano nalo wakati unatumia internet?
Unaelewa ulichoandika?
Unaleta habario za "Baniani mbaya, kiatu chake dawa"?