Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mkjj,
Unaona vipi kama miongozo ya uchaguzi ibadilishwe kidogo kuhusiana na hili hili swala... Ya kwamba, pale ambapo vyama vingine vinaposhindwa kusimamisha mgombea mwenza, basi chama ambacho kimepata mgombea pekee katika jimbo husika kiruhusu mgombea aliyekuwa wa pili katika kura za maoni za kupitisha wagombea wa chama hicho aruhusiwe kugombea ubunge kama mpinzani aliyepita kwa kura zaidi (au baada ya kuteuliwa), japokuwa ni ndani ya chama kile kile.
Steve Dii
Unaona vipi kama miongozo ya uchaguzi ibadilishwe kidogo kuhusiana na hili hili swala... Ya kwamba, pale ambapo vyama vingine vinaposhindwa kusimamisha mgombea mwenza, basi chama ambacho kimepata mgombea pekee katika jimbo husika kiruhusu mgombea aliyekuwa wa pili katika kura za maoni za kupitisha wagombea wa chama hicho aruhusiwe kugombea ubunge kama mpinzani aliyepita kwa kura zaidi (au baada ya kuteuliwa), japokuwa ni ndani ya chama kile kile.
Steve Dii