Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Look at this one!
Tukio la kuenguliwa kwa mgombea wa Chadema kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa jimbo la Songwe ndio lililotawala vituko vilivyojitokeza wakati wagombea wa nafasi hizo wakirejesha fomu.
Utata wa mgombea wa Chadema ulijitokeza baada ya ofisi ya makao makuu ya chama hicho kutengua uteuzi wa awali wa Habel Mwaniyonde na kutaka nafasi hiyo igombewe na Paul Ntwina.
Msimamizi wa uchaguzi wa wilaya ya Chunya, Maurice Saponya aligoma kumpa fomu Ntwina akitaka arudishiwe fomu aliyoitoa awali kwa Mwaniyonde.
Agosti 13 ofisi ya Chadema ya wilaya ilimthibitisha Mwaniyonde kuwa mgombea Jimbo la Songwe na alichukua fomu. lakini leo asubuhi (jana), nilipokea barua iliyosaniwa na Dk Slaa ikisema kuwa wametengua uamuzi wa Mwaniyonde na nafasi yake apewe Ntwina," alisema msimamizi huyo.
Nikawaambia ni sawa, lakini ili kuepusha mgogoro waniletee fomu ya kwanza ili nisiwe na fomu mbili nikaja kuaibika.
Tukio la kuenguliwa kwa mgombea wa Chadema kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa jimbo la Songwe ndio lililotawala vituko vilivyojitokeza wakati wagombea wa nafasi hizo wakirejesha fomu.
Utata wa mgombea wa Chadema ulijitokeza baada ya ofisi ya makao makuu ya chama hicho kutengua uteuzi wa awali wa Habel Mwaniyonde na kutaka nafasi hiyo igombewe na Paul Ntwina.
Msimamizi wa uchaguzi wa wilaya ya Chunya, Maurice Saponya aligoma kumpa fomu Ntwina akitaka arudishiwe fomu aliyoitoa awali kwa Mwaniyonde.
Agosti 13 ofisi ya Chadema ya wilaya ilimthibitisha Mwaniyonde kuwa mgombea Jimbo la Songwe na alichukua fomu. lakini leo asubuhi (jana), nilipokea barua iliyosaniwa na Dk Slaa ikisema kuwa wametengua uamuzi wa Mwaniyonde na nafasi yake apewe Ntwina," alisema msimamizi huyo.
Nikawaambia ni sawa, lakini ili kuepusha mgogoro waniletee fomu ya kwanza ili nisiwe na fomu mbili nikaja kuaibika.