Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Sincerely my father is typical Thelonious... Grew up najua men and women tuko tofauti lakini haimaanishi mwanamke ni kilaza infact mwanamke unaweza kufanya mengi mnoo
Tofauti zetu ni za kijinsia....
Achana na tofauti ya kijinsia zipo tofauti nyingi mno
 
Mimi naangalia uhalisia wa ninachokiona kwa macho yangu kwasasa hayo mambi ya kuumbwa na udhaifu nyie yachukueni.

Kuna wanawake vichwa vya familia, mwanaume mlevi familia hahudumi, watoto matumizi hatoi mke ndiye anahangaika tu. Huyu mwqnamme utamuita kichwa cha familia kisa tu imeqndikwa kwenye vitabu??

Zama za kusema mwanamke ni dhaifu labda uwe unajilinganisha naye na uwe umemzidi na sio fallacy generalization.
Very nice.
 
Kweli wanaume wengi wa siku hizi wamekuwa viazi sana.
In Eli79 's voice.

uliniambia ni viazi mbatata nilicheka sana jana. Yani unakuta mtu hana point ya maana kutetea hoja yake anabaki kukimbilia kunukuu bible wakati hata bible yenyewe haijui shida sana. shida ni kwamba wamekariri.
 
unajua ipo hivi mwanamke kwa asili ni dhaifu,hapa haitegemei ana mali au akili,kila mwanamke anaudhaifu wa kipekee kwa hiyo siwezi sema kuwa udhaifu wake ni huuu,hapana kwasababu wanatofautiana,kikubwa kama wewe ni mwanaume hakikisha unaishi kwa akili na mwanamke ili muweze kufika muendako,ful stop
Kwani wewe hauna udhaifu wa aina yoyote yani kwa kifupi uko perfect mkuu?
 
uliniambia ni viazi mbatata nilicheka sana jana. Yani unakuta mtu hana point ya maana kutetea hoja yake anabaki kukimbilia kunukuu bible wakati hata bible yenyewe haijui shida sana. shida ni kwamba wamekariri.
Yaani acha tu!!
 
Wanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu na huu sio udhaifu ni toafuti za jinsia.. vingine wanakuzidi wewe

Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
Basi mkuu ameshakuelewa huyo
 
yaan nasema hivi we wasifie utakuja kunambia,mwanamke hata awe na dunia nzima hiii uwezo wake ni weak sana ukilinganisha na mwanaume asiye na kitu
Kama thinking capacity yako ndio poor namna hii, sidhani kama unaweza kupata mwanamke amabae anauwezo mkubwa kufikiri na kupambanua, utapata level yako na utaendelea kuamini hivyo hivyo
 
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
eti hata wawe na mabawa, we jamaa umenichekesha sana
 
Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Kwa hapa ulipofikia sikuungi mkono, kabisa upo wrong, wewe inawezekana unaabudu mwanamke. Huwezi kumdogosha Mungu kwa kiwango hiki, ww ni mpuuzi aisee, naskia ipo dini wanaabudu p***chi usijekuwa unatafuta wafuasi
 
Kwa hapa ulipofikia sikuungi mkono, kabisa upo wrong, wewe inawezekana unaabudu mwanamke. Huwezi kumdogosha Mungu kwa kiwango hiki, ww ni mpuuzi aisee, naskia ipo dini wanaabudu p***chi usijekuwa unatafuta wafuasi
Eti aliyewaumba hakusoma nyakati?

Yaani huyu Jamaa ni mpumbavu na limbukeni wa mwisho kabisa!

Hiyo kauli yake imenichefua sana.
 
Back
Top Bottom