Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Mazee acheni fallacy generalization basi.

Kuna wanaume wenye sifa uliyotaja. Kuna wanawake ma -CEO na kampuni zinafanya vizuri.

Hivi nyie mnachukua wanawake wa wawapi mnajilinganisha nao? Tunaposema mwanamke ni dhaifu kumzidi mwanamme logically tunakichukua kiumbe chochote cha kike tunakilinganisha na kiumbe chchote cha kiume kwa sifa tajwa.
Kuna wanawake wana tabia za kiume alafu kuna wanaume wana tabia za kike hayo ni matizo tu yakiufundi
Yani ukiwachukua wanawake elfu huenda kuna mmoja anawazidi wanaume wengi kwa mambo mengi tu
sasa wewe uko hapa kutetea huyu mmoja katka hawa elfu ambapo kikawaida ni kama hayupo
 
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Hahaah bora ungekachapa mkwaju kuliko kukapa majukumu ya kufua
 
mwanamke ni kama mtoto,huyo malkia mwenyew ni dhaifu hana lolote cheo ndio kinampa jina kubwa,lakin ukiishi na mwanamke kama ni kiumbe mwenye nguvu atakushinda mwanamke yeye ni mtoto miaka yote hakupewa nguvu hata tangu uumbaji,ndio maana hawa alitongozwa na shetan nyoka akashawishika.
Alikuwepo Samson kiboko yake ilikua ni Delilah....endelea kuona mwanamke ni dhaifu
 
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni Gender rules.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?


natamani JAMII MEDIA ikutunuku TUZO JAMANI ! kumbe wanaume mmebaki eh?
 
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni Gender rules.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
kwa hiyo Mungu aliyesema mke ni dhaifu alikosea,chunga kauli zako
 
yaani nimempenda ghafla !nadhani ni vyema na sie wazaz tunapaswa kuwaencourage watoto weut hasa wakike kama huyu Thelonious !mtoto ukimpa maneno positive lazima awe vizuri ! sio umsemee mabaya tu lazima atakuwa na phobia !
Sincerely my father is typical Thelonious... Grew up najua men and women tuko tofauti lakini haimaanishi mwanamke ni kilaza infact mwanamke unaweza kufanya mengi mnoo
Tofauti zetu ni za kijinsia....
 
yaani nimempenda ghafla !nadhani ni vyema na sie wazaz tunapaswa kuwaencourage watoto weut hasa wakike kama huyu Thelonious !mtoto ukimpa maneno positive lazima awe vizuri ! sio umsemee mabaya tu lazima atakuwa na phobia !

Halafu jiheshimu wewe nani wa kike?
 
kwa hiyo Mungu aliyesema mke ni dhaifu alikosea,chunga kauli zako
Tofautisha nafasi ya mke na mwanamke.... Akiwa mkeo sawa wewe ni kichwa kwake...
akiwa sio mkeo huo udhaifu haupooo...ndo mana wake za watu ni mabosi wenu ofisini,ndo mana wanawake wana pesa na magari na elimu na wanaume wapo bado wanatembea kwa miguu nk... Tena mabosi wanawake wanawaendeshaaa balaa hahahha af mtakuja kubisha hapa SMH...
 
Ni kama vile eti kisa wewe ni mwanaume useme Bi.Samia Suluhu ni dhaifu....unamzidi kwa lipiii we mwanaume??.!
 
Back
Top Bottom